• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango

HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI

 

Mhe Francis Mtega 

Mwenyekiti wa Halmashauri

 

KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO (FUM)

WAJUMBE WA KAMATI 

NA

JINA KAMILI

DIWANI WA KATA

JINSI

WADHIFA

1.
Mhe Francis Mtega
Chimala

Me

Mwenyekiti
2.
Mhe. Bahati Mwalinginalyo
Ihahi

Me

Makamu Mwenyekiti
3.
Mhe. Haroon Pirmohamed
Mbunge

Me

Mjumbe
4.
Mhe. Marcus Kalinga
Ipwani

Me

Mjumbe
5.
Mhe. Lwitiko I. Mwangosi
Itamboleo

Me

Mjumbe
6.
Mhe. Hawa Kihwele
Igurusi

Ke

Mjumbe
7.
Mhe. Broun Mwakibete
Mahongole

Me

Mjumbe
8.
Mhe. Shahara Nguvulava
Viti Maalumu

Ke

mjumbe
9.
Mhe. Udessy J. Nassoro
Igava

Me

Mjumbe
10.
Mhe. Lucia Ngondo
VitiMaalumIgurusi

Ke

Mjumbe


MAJUKUMU YA JUMLA

Kamati hii inawashirikisha Wenyeviti wa kamati zote za kudumu na inapaswa kukutana kila mwezi maramoja. Majukumu ya Kamati hii ni kama kamati zingine za kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya kamati zingine za kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. 

MAJUKUMU MAALUMU YA KAMATI;-

  1. Kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato.
  2. Kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa maendeleo kwenye Halmashauri ilikuidhinishwa na Halmashauri.
  3. Kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni na kuomba vibali maalumu kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali Mitaa.
  4. Kufikiria na pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri.
  5. Kupokeana kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika makisio ya liyoidhinishwa na kuyapeleka Halmashauri.
  6. Kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri.
  7. Kuratibu mapendekezo kutoka kwenye kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida namiradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri.
  8. Kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa sharia ya fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya 1982 (38) kifungu 38.
  9. Kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mijibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Na 9 ya 1982 kifungu 48 (1).
  10. Kutoa mapendekezo ya aina ya bima na za kuchukuliwa na Halmashauri kwa ajili ya mali mbalimbali, kwa mujibu wa Kanuni za fedha (financial Memoranda) za Mwaka 1997 kifungu 310-315
  11. Kusimamia na kudhibiti maswala yote ya Mapato na matumizi ya Halmashauri kwa mujibu wa Kanuni na taratibu kama ilivyoelezwa kwenye financial Memoranda ya 1997 amri Na, 3 ( C)
  12. Kujadili na kupendekeza mabadilliko ya viwango vya kodi, Ada na Ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri, kama inavyoelekezwa kwenye financial Memeorada 1997 amri Na, 3 ( C)
  13. Kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusuiano na Hamashauri nyingine.
  14. Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya Mapato ya Vijiji na miji midogo kwa mujibu wa sheria Na 7/82 kifungu cha 118 (1) (F).
  15. Kuteua wakaguzi wa fedha au mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa sheria Na. 9/82 kifungu cha 45 (3)
  16. Kushuhurikia ajira ya watumishi wakundi C na kupendekeza kwa Halmashauri mambo yanayohusiana na ngazi za mishahara, kupandisha vyeo, masharti ya kazi na mafunzo ya watumishi.
  17. Kujadilina kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote ya kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi.
  18. Kujadilina kutoa mapendekezo kuhusu maswala yanayohusu nyumba za Halmashauri.
  19. Kupokeana kutoa maamuzijuu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni.
  20. Kujadili na kupendekeza maswala yote yanayohusu maslahi ya Jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu na rambirambi na motisha nyinginezo.
  21. Kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi
  22. Kushughulikia maafa katika eneo la Halmashauri

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 SHULE ZA SKONDARI ZA WILAYA YA MBARALI MKOA WA MBEYA January 15, 2021
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI YA WILAYA YA MBARALI 2021 December 19, 2020
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA MBARALI 2021 December 21, 2020
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA MBARALI 2021 December 21, 2020
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • Rudisheni Mikopo kwa wakati ili na wengine wanufaike-Twalib

    January 19, 2021
  • Tutaendelea Kuboresha Miundombinu ya Umwagiliaji Mbarali-Mfune

    November 24, 2020
  • DC Mbarali azitaka Taasisi Kutoa ajira kwa Wahitimu wa Jeshi la Akiba

    November 23, 2020
  • KAMATI YA USALAMA MBARALI YAWAPONGEZA WACHIMBAJI WA MADINI.

    November 10, 2020
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255713317374

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2018 GWF. Haki zote Zimehifadhiwa.