• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

CHF ILIYOBORESHWA KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI

Tarehe ya Kuanza: May 29th, 2021

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imejipanga kuendelea kuboresha huduma za CHF ILIYOBORESHWA kwa kuongeza wanufaika wa huduma za afya kutoka asilimia 5 ya mwaka 2021 hadi kufikia asilimia 10 mwaka 2022.

Hayo yamesemwa na Ziada Nkinda Shekalaghe kwa niaba ya  Mkurugenzi wa Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais- TAMISEMI wakati akifungua semina ya siku moja kwa waratibu wa mikoa, maafisa habari wa mikoa na maafisa TEHAMA mkoani Mbeya.

"Tumeona umuhimu wa maafisa habari katika kutangaza CHF ILIYOBORESHWA kwani hata mratibu akifanya vizuri bila kuyaandika hayo mazuri hayawezi kufika kwa walengwa ndio maana tumeona umuhimu wenu na tunaamini mtaitangaza CHF ili iwafikie watunwengi zaidi," amesema Bi. Shekalaghe

Aidha amesema hadi kufikia April 2021 jumla ya watu milioni 3 wamejiunga na kufanikiwa kukusanya shilingi bilioni 18 ambapo jumla ya shilingi bilioni 7 zimerudishwa katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa ajili ya kuboresha huduma za afya.

"Uwepo wenu wote hapa nina imani tutaweza kuboresha zaidi mfuko huu na kufikia asilimia 30 badala ya 10 tuliyojiwekea mwaka 2022 na kufikia lengo la Serikali la bima ya afya kwa wote,"amesisitiza Bi. Shekalaghe

Hatahivyo aliwashauri waratibu wa CHF ILIYOBORESHWA ngazi ya mikoa kutokujifungia peke yao badala yake washirikiane na wengine na kuwaambia kuwa kila mtu kwa nafasi yake anaweza kuinua CHF ILIYOBORESHWA sehemu alipo.

Semina ya siku moja ya CHF ILIYOBORESHWA inafanyika mkoani Mbeya ambapo imehudhuriwa na viongozi kutoka OR TAMISEMI, maafisa Habari wa mikoa, waratibu wa CHF mikoa na Maafisa TEHAMA wa mikoa lengo likiwa kuweka mikakati ya pamoja ya uhamasishaji Jamii kujiunga na CHF iliyoboreshwa kutoka asilimia 6 hadi 10 mwaka 2022 ambapo lengo la taifa ni kufikia asilimia 30 mwaka 2025.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DED MPYA AWASILI MBARALI

    June 30, 2025
  • KIKAO CHA MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI NA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI

    June 16, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI YAPATA HATI SAFI BAADA YA UKAGUZI WA CAG

    June 17, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA MAAFISA WATENDAJI WA HALMASHAURI BAADA YA KIKAO KAZI

    June 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.