• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC AZINDUA KUANZA KWA MASOMO KWA SHULE MPYA 6 MBARALI

Tarehe ya Kuanza: August 6th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune amezindua kuanza masomo kwa shule mpya 6 za Sekondari zilizosajiliwa wilayani hapa ili wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza na walioanza  masomo kwenye shule za kata za jirani warudi kwenye shule za kwenye kata zao kuendelea na masomo.

Mhe. Mfune amefanya uzinduzi wa shule hizo alipofanya ziara ya kuweka mawe ya msingi pamoja na kuzitembelea shule hizo kuanzia tarehe 22/07/2020 hadi tarehe 30/07/2020 wilayani hapa. 

Akiwa katika uzinduzi huo Mhe Mfune amewataka wananchi kuendelea kuongeza majengo mengine muhumu ili shule hizo ziweze kukamilika kuanzia vyumba vya madarasa, maabara, vyoo pamoja na majengo ya utawala.

“Hatuwezi kujua mwaka kesho watafaulu wanafunzi wangapi, maoteo ya madarasa mmeshapewa, tuhakikishe malengo yetu ya kuongeza vyumba vya madarasa yanatimia, kwani tukifuata maelekezo tuliyopewa tutakuwa na vyumba vya kutosha, tufanye kazi kwa bidii sasa hivi ili baadae tupate ahueni.”

“Najua bado tuna changamoto kwani kuna vijiji bado vipo mbali na shule, ila tuamini kuwa tumepungaza umbali tofauti na ilivyokuwa awali, mtoto hawezi kuzaliwa siku hiyo hiyo na akaweza kufanya kila kitu, changamoto zinanendelea kuatuliwa, na nina imani ndani ya miaka miwili shule zetu zote zitasimama na zitakuwa bora zaidi.” Alisema Mhe. Mfune 

Mkuu wa Wilaya amewashukuru wananchi kwa kufanikisha ujenzi wa shule hizo kwani zimekuwa faida kwa watoto wetu kwani kwa sasa wanafunzi wanauwezo wa kuwahi kwenda shuleni na kurudi muda unaotakiwa.

Kwa upande wake Kaimu Afisa Elimu Sekondari Bi. Anna Shitindi alisema kwamba, kwa sasa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali ina shule 24 za sekondari, kati ya shule hizo shule 16 ni kongwe, shule mbili zilianza kutoa elimu mwaka 2019 na shule mpya 6 zimeanza kutoa elimu mwaka huu 2020.

Bi. Shitindi aliongeza kuwa kuna shule mbili ambazo ni Luhanga Sekondari pamoja na Haroon sekondari zipo katika hatua ya kuridhisha na zinategemewa kupata usajiri pamoja na kuanza kutoa elimu mwaka 2021. Vilevile Halmashauri imefanikiwa kuanzisha shule mbili mpya za kidato cha tano na sita na kufanya kuwa na jumla ya shule nne.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria uzinduzi wa shule hizo, wameishukuru Serikali kwa kufanikisha kufunguliwa kwa shule hizo kwani kabla ya hapo watoto wao walikuwa wanasafiri umbali mrefu kutafuta elimu. Vilevile wamewashukuru wadau wote wa maendeleo walioshiriki na wanaoendelea kushiriki kuinua sekta ya elimu wilayani hapa.

Shule mpya sita zilizowekewa mawe ya msingi pamoja na kuzinduliwa uanzaji ni Shule ya Sekondari Nyamakuyu, Shule ya Sekondari Muwale, Shule ya Sekondari Itamboleo, Shule ya Sekondari Kapunga, Shule ya Sekondari Mkanyageni pamoja na Shule ya Sekondari Mwatenga.MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MBARALI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA YA KABONI

    May 22, 2025
  • ZIARA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MBEYA WILAYANI MBARALI

    May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI

    May 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.