• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

GODIGODI AUKWAA UENYEKITI MJI MDOGO RUJEWA

Tarehe ya Kuanza: August 1st, 2018

WAJUMBE wa Mamlaka Mji mdogo Rujewa Wilayani Mbarali ,wamemchagua ,Chameta Godigodi wa chama cha mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyekiti wa Mamlaka hiyo kwa kupata kura (75) baada ya kumshinda mpinzani wake wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema ), Asheri Mgowole aliyepata kura (21 ).

Uchaguzi huo umefanyika baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Mamlaka hiyo , Ayoub Chaula kufariki mwaka huu baada ya kuugua.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo jana katika ukumbi wa kanisa la Rutherani Msimamizi wa uchaguzi huo, Katibu Tawala Wilaya ya Mbarali ,Ezekieh Kilemile alisema katika uchaguzi kulikuwa na wapiga kura 109 lakini waliopiga kura ni 101 ambapo wapiga kura nane hawakupiga na kura kumi ziliharibika.

Msimamizi huyo wa uchaguzi alisema Chameta Godigodi ambaye alikuwa mgombea wa chama cha mapinduzi alipata kura 75 huku mpinzani wake wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema akiambulia kura 21.

Aidha Kilemile alisema kwa upande wa nafasi ya makamu Mwenyekiti kulikuwa na wagombea wawili ambao ni Elly Kimilika (CCM)aliyepata kura (75) na Elayi Mgeni aliyeambulia kura (19)wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema).

“Kulikuwa na jumla ya wapiga kura 109 lakini waliopiga kura ni 100 na ambao hawakupiga ni tisa “alisema.

Akielezea zaidi kuhusu uchaguzi huo , Kilemile alisema kuwa uchaguzi wa makamu Mwenyekiti na Mwenyekiti husimamiwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya mbarali na kwamba nafasi ya makamu mwenyekiti uchaguzi wake hufanyika kila baada ya mwaka mmoja lakini kwa upande wa mwenyekiti ni baada ya miaka mitatu ndo hufanyika uchaguzi.

Akizungumza baada ya kutangazwa mshindi ,Mwenyekiti mpya wa mamlaka Chameta Godigodi ambaye kabla ya uchaguzi huo alikuwa akishikilia nafasi ya makamu Mwenyekiti kwa kipindi chote alisema atahakikisha mamlaka inasimamia vema shughuli zote za maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa vyumba vya madarasa ambavyo havijakamilika kwa kushirikiana na wenyeviti wa vitongoji waliompa mamlaka ya kuongoza .

“Ili mamlaka iweze kusonga mbele nitahakikisha nakuwa karibu na wenyeviti wa vitongoji wote bila kujali itikadi za vyama vyetu ,katika suala la maendeleo suala la uvyama linakaa kando ili kuweza kuwasaidia wananchi katika kuwaletea maendeleo”alisema Mwenyekiti huyo.

 Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Mbarali , Haroon Pirmohamed atashiriiana na uongozi uliochaguliwa pamoja na kuwataka wajumbe wa kamati ya uchumi kutembelea kampuni ya Mbarali Estate na Magereza kwa lengo la kujifunza

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MBARALI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA YA KABONI

    May 22, 2025
  • ZIARA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MBEYA WILAYANI MBARALI

    May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI

    May 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.