• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Maafisa Waandikishaji wa CHF iliyoboreshwa wakabidhiwa Simu Janja Mbarali

Tarehe ya Kuanza: October 23rd, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune amekabidhi vitendea kazi aina ya Simu janja 50 kwa maafisa waandikishaji wa Mfuko wa Afya ya Jamii iliyoboreshwa (ICHF) kwenye ukumbi wa ofisi yake siku ya tarehe 23/10/2020 ili ziweze kuwasaidia kuwafikia wananchi wengi zaidi katika maeneo wanayofanyia kazi.

Akizungumza katika makabidhiano hayo Mhe. Mfune amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma Msangi kwa kutekeleza agizo alilolitoa siku ya tarehe 13/05/2020 la  kununua simu 102 kwa awamu na hadi kufikia sasa ameweza kununua simu 50 zenye thamani ya kiasi cha shilingi 8,500,000 ili   kutatua changamoto zinazowakabili maafisa waandikishaji wa ICHF wilayani hapa.

“Simu zilizonunuliwa zitaongeza chachu ya kuandikisha kaya nyingi zaidi ikiwa ni pamoja na kuhuisha kaya zilizoandikishwa awali zaidi ya mwaka mmoja uliopita. Zingatieni lengo la kuandikisha angalau kaya 20 kwa mwezi kwa kila mwandikishaji ili kufikia lengo la wilaya la kuandikisha kaya 20,000 kwa mwaka.”

“Ninawataka maafisa waandikishaji wa CHF iliyoboreshwa mtunze simu hizi kama mali yenu ili muwendelee kuihudumia jamii mnayoishi nayo. Huduma ya uandikishaji imesogezwa kwenu mkiwa kama sehemu ya jamii ili kumwondolea usumbufu na umbali mwananchi kupata huduma hiyo mara anapoenda Hospitali au kituo cha afya.” Alisema Mhe Mfune

Mratibu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya iliyoboreshwa (ICHF) Ndg. Stephen Bitta alisema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali imeanza utekelezaji wa mfuko huo mwezi Mei 2019 na hadi kufikia sasa Wilaya imeandikisha jumla ya kaya 1,614 sawa 2.3% ya lengo zima la kaya 69,667 au  sawa na 8.07% ya lengo la mwaka la kaya 20,000.

Aliongeza kuwa Uandikishaji wa wanachama wa ICHF umetofautiana kati ya Kitongoji, Kijiji na Kata moja na nyingine kutokana na sababu mbalimbali hususan mwitikio wa jamii, uwezo wa waandikishaji walioteuliwa, vitendea kazi pamoja na mwingiliano wa tatizo la maamubukizi ya ugonjwa wa Korona (Covid-19.)

Wakizungumza kwa niaba ya wenzao kwenye zoezi wa ugawaji wa vitendea kazi hivyo, maafisa waandikishaji wa Mfuko wa Bima ya afya ya Jamii iliyoboreshwa wameushuruku uongozi wa Wilaya kwa kuwapatia vitendea kazi vya simu janja ambazo kwa sasa zitawaongezea ari ya kufanya kazi kwa bidii kwani simu hizo ni za kisasa na zinakwenda na wakati uliopo.

MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MBARALI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA YA KABONI

    May 22, 2025
  • ZIARA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MBEYA WILAYANI MBARALI

    May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI

    May 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.