• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tuleteeni Changamoto Zenu Tuzitatue-Lubandamo

Tarehe ya Kuanza: May 2nd, 2021

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mhe. Twalib Lubandamo (Diwani) alipokuwa akiongea na watumishi wa Kata ya Imalilosongwe siku ya wafanyakazi Duniani ambapo kata hiyo iliandaa maadhimisho hayo kwa ajili ya kuwapongeza watumishi wote wa kata.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Mhe. Twalib alisema kuwa Ofisi yake inafahamu ya kuwa kuna changamoto nyingi zinawakabili watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, kwa kushirikiana na Mkurugenzi wapo tayari kuzipokea changamoto hizo na kuzitatua.

“Tunajua watumishi wetu mna changamoto nyingi, tunaomba mtuletee hizo changamoto zenu ili zile tunazoweza kuzitatua tuzitatue na zile ambazo zitakuwa nje ya uwezo wetu tutaziwasilisha sehemu husika ili ziweze kutatuliwa.”


Katika hotuba yake. Mhe. Lubandamo aliongeza kuwa yeye kwa kushirikiana na Madiwani wengine wamejipanga kumaliza tatizo la upungufu wa madawati katika shule zote za sekondari.

“Nilipoingia kwenye Halmashauri kama mwenyekiti, mimi na madiwani wenzangu kipaumbele chetu cha kwanza ilikuwa ni kuhakikisha watoto wetu hawakai chini katika shule zetu zote za sekondari, na hadi sasa tumefanikisha upatikanaji wa madawati Zaidi ya 900.”

 “Ni mategemeo yetu kwamba ndani ya miezi 6 ijayo tutakuwa tumemaliza changamoto ya Madawati katika shule zetu.” Mhe. Twalib


Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali ambaye ni Diwani wa Kata ya Imalilosongwe.  Mhe. Chuki Mbwanjine amewapongeza watumishi wa kata hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kuwataka kuendelea kufanya kazi ili kuweza kutatua kero za wananchi.

Aliongeza kuwa ameandaa hafla hiyo ili kuwapongeza na kuendelea kukuza mahusiano mazuri yaliyopo kati ya wafanyakazi, wananchi pamoja na viongozi wa kisiasa na ameahidi kuandaa sherehe za kupongezana kwa kipindi chote atakachokuwa madarakani.

Baadhi ya Madiwani waliohudhuria maadhimisho hayo, wamempongeza Diwani wa Kata ya Imalilosongwe kwa kuandaa sherehe kama hiyo kwani inawaongezea wafanyakazi ari ya kufanya kazi kwa bidii sambamba na kuweka mahusiano mazuri kati yao na jamii na wameahidi kufanya hivyo kwenye kata zao.

Sherehe hizo ziliweza kuhudhuriwa na baadhi ya madiwani kutoka kata mbalimbali ambao ni Mhe. Twalib Lubandamo (Mwenyekiti wa Halmashauri) Diwani kutoka kata ya Itamboleo, Mhe. Bahati Salum kutoka Diwani kata ya Ihahi na Mhe. Elia Bange kutoka Diwani kata ya Kongoro Mswisi.

Wengine ni Mhe. Catherine Madenge (Diwani Viti Maalum), Pascalina Ndungulu (Diwani Viti Maalumu), Zamda Mussa (Diwani Viti Maalum) na Veronica Saga (Diwani Viti Maalum)

Katika maadhimisho hayo burudani mbalimbali zilikuwepo zikiwemo, Mpira wa pete kwa wanawake, Mpira wa miguu kwa wanaume, kuvuta Kamba, kukimbia na chupa pamoja na mbio za mita 100.

MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MBARALI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA YA KABONI

    May 22, 2025
  • ZIARA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MBEYA WILAYANI MBARALI

    May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI

    May 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.