• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Hifadhi ni Zetu Sote, Faida Zinazopatikana Zinarudi kwa Wananchi - Mathayo

Posted on: March 5th, 2020

Hayo yamesemwa na Mjumbe wa Kamati Maalumu ya uelimishaji wananchi juu ya umuhimu wa uhifadhi, Muikolojia kutoka Hifadhi ya Taifa yaTanzania (TANAPA) Ndg Daniel Mathayo alipokuwa akitoa elimu ya Hifadhi za Taifa siku ya tarehe 05/03/2020 katika kijiji cha Matemela Kata ya Ipwani Wilaya ya Mbarali.

Mathayo alisema kwamba, kwa kipindi kirefu wananchi wamekuwa wakiingia ndani mipaka ya Hifadhi na kusababisha misuguano na askari wa Hifadhi kitu ambacho kilipelekea kutokea kwa matukio ya mauaji kitu ambacho Serikali ikaamua kutuma wataalamu kwa ajili ya kutoa elimu Kuhusiana na masuala ya Uhifadhi ili matukio kama hayo yasijirudie

Akiongea katika mkutano wa hadhara alisema kwamba ni kosa kisheria kuingia hifadhini bila kibali, kuwinda wanyama pori, kukutwa na nyama pori, kumiliki siraha hifadhini bila kuwa na kibali, kuvuna mazao ya misitu, kuchimba madini na shughuli zingine za kibinadamu.

“Hifadhi zote zimeanzishwa kisheria na zinaendeshwa kisheria kwa lengo la kutunza wanayama pori na mazingira yao, haina maana wananchi kugombania maeneo yaliyowekwa mipaka, kwani hizi Hifadhi ni mali za watanzania wote.”

“Faida zinazopatikana zinarudi kwa wananchi kwa ajili ya kusaidia miradi ya maendeleo, ni jukumu la kila mtu kutunza Hifadhi zetu, mipaka iliyowekwa inasaidia kujua ni wapi mwananchi anatakiwa kuishia, kwani kuheshimu mipaka iliyowekwa kisheria kutasaidia kupunguza migogoro”

Mjumbe Mwingine wa wa Kamati Maalumu ya uelimishaji wananchi juu ya umuhimu wa uhifadhi Mhifadhi Wanyamapori kutoka TAWA, Ndg. Sylvester Emmanuel aliongeza kuwa Tawa ni Shirika la usimamizi wa wanyama pori Tanzania. Sheria za Tawa hazitofauti na sheria za TANAPA ila kwa upande wa TAWA kuna baadhi ya maeneo wameruhusu uwindaji wa Kitalii pamoja na uwindaji wa kitoweo ambao kwa sasa upo kwenye hatua za majaribio kanda ya Kaskazini.

Tawa inasimamia Mapori Tengefu, Ardhi oevu, bustani za wanyama pori, mashamba na ranchi za wanyama pori na jumuiya za wanyamapori zinazotengwa na wananchi na kusimamiwa na wananchi wenyewe kwani wanyama huwa wanahama kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa ajili ya kutafuta chakura au kukimbia hari mbaya ya kimazingira, sasa kama uhifadhi hautafanyika tutawapoteza hao wanyama.

MWISHO


Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.