• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Taratibu zinazo tumika katika kupata vikundi vinavyopendekezwa kupewa mkopo kutoka mfuko wa wanawake katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

Ili kudumisha uwazi na haki ya kila kikundi kuwa na fursa ya kupata mkopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mchakato  unaanzia ngazi ya Kijiji/Mtaa ambako vikundi vinatoka.

Utaratibu ni kama ufuatavyo:

  • Vikundi vitapeleka maombi ya mkopo katika Halmashauri ya Kijiji. Halamashauri ya kijiji itajadili na kupendekeza majina ya  vikundi vitatu (3) na kuyawasisilisha pamoja na Muhtasari wa kikao na majina ya vikundi vilivyopendekezwa ngazi ya Kata
  • Kamati ya Maendeleo ya Kata itajadili majina ya vikundi kutoka ngazi ya Kijiji na kupendekeza majina ya vikundi viwili (2) na kuyawasilisha Muhtasari wa kikao cha WDC na majina ya vikundi vilivyopendekezwa ngazi ya Wilaya (Halmashauri)

Wakati wa kujadili katika ngazi hizo mambo yafuatayo yatatumika kama vigezo  katika mchakato wa kupendekeza vikundi vitakavyopata mkopo toka MFUKO WA WANAWAKE

  • Kikundi kiwe na shughuli inayoendelea angalau miezi 6 ili kuepuka vikundi vinavyoundwa kwa ajili ya mkopo kwa sababu vikundi vya aina hiyo havina uendelevu baada ya mkopo kuisha
  • Kikundi kiwe kimesajiliwa na kutambulika kisheria
  • Kikundi kiwe na Akaunti benki

Katika ngazi ya Kata, Kata ambazo kuna Afisa Maendeleo ya Jamii atatumiwa sana kuvitambua vikundi vinavyotakiwa kupata mkopo kwani yeye ndie mtaalamu anaefanya kazi na vikundi kwa kuvipa ushauri na mafunzo mabalimbali hivyo atakuwa anatambua uimara na udhaifu wa vikundi vyote katika Kata.

Aidha Afisa Maendeleo ya Jamii wa Kata atasaidia kuvikumbusha vikundi vilivyopata mkopo kurejesha mkopo muda wa urejeshaji unapofika kwa vikundi vitakavyopata mkopo.

Vikundi vikishapita katika ngazi ya Kijiji, Kata na ngazi ya Wilaya na kisha kukubaliwa kupata mkopo mambo yafutayo yanafanyika:

  • Kikundi Kitaingia makubaliano na kusaini mkataba na  Halmashauri ili kuhakikisha kuwa wanarejesha fedha waliokopeshwa
  •  Mkataba huu utasainiwa na Halmashauri (Mkurugenzi Mtendaji) na Mwanasheria kwa upande wa mkopeshaji
  • Upande wa Wanakikundi kama mkopaji Mkataba utasainiwa na viongozi wa vikundi wanne yaani Menyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu na Mtunza Fedha wa kikundi.
  • Mtendaji wa Kijiji kinakotoka kikundi ataweka saini kwenye mkataba kama mdhamini wa kikundi.
  • Viongozi (Menyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu na Mtunza Fedha wa kikundi) watawasilisha picha zao (passport size) Halamashauri na kubandikwa kwenye mkataba.

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.