• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Baraza la Madiwani Lapitisha Bajeti Bilion 39.3

Posted on: January 29th, 2019

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, limepitia na kupitisha mapendekezo ya mpango wa Bajeti kiasi cha tshs 39,343,914,585.49 kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kutoka vyanzo mbalimbali vya Mapato siku ya tarehe 29/01/2019.

Mapato kutoka Serikali Kuu na Wadau wa Maendeleo ni tshs 35,230,064,585.49 Mapato kutoka vyanzo vya ndani ni tshs 4,113,850,000.00. 

Kati ya fedha hizo, kiasi cha tshs 28,441,960,660.00 ni Mishahara, tshs 5,005,592,925.49 ni matumizi ya kawaida na tshs 5,896,361,000.00 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

Mpango wa Miaka Mitatu na Makisio ya Bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020 umeandaliwa kwa kuzingatia, Mwongozo wa Maandalizi ya Bajeti ya mwaka 2019/2020 uliotolewa na Wizara ya Fedha na Mipango.

Vipaumbele vya Serikali ya awamu ya tano, Maagizo ya Viongozi wa Kitaifa, Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano 2016/2017- 2020/2021, Mpango Mkakati wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR- TAMISEMI), Mpango Mkakati wa Halmashauri wa mwaka 2018/2019- mwaka 2022/2023  Mpango Mkakati wa Lishe wa Taifa wa Mwaka 2016/2017- 2020/2021, Sheria ya Bajeti Na. 11 ya mwaka 2015 na Kanuni zake,

Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015, Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo Endelevu 2030, Mapitio ya Utekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2018/2019, Vipaumbele vya wananchi wa Wilaya ya Mbarali kupitia Mfumo ulioboreshwa wa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (Improved Opportunities and Obstacles to Development- O&OD)

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali katika Bajeti yake ya mwaka 2019/2020 itajikita katika Kuwezesha uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, Ujenzi/Ukamilishaji wa zahanati katika Vijiji, Ujenzi/Ukamilishaji wa Vituo vya Afya katika Kata, Ujenzi/Ukamilishaji wa vyumba vya madarasa katika Shule za Msingi na Sekondari, Kuwezesha upatikanaji wa Madawati kwa Shule za Msingi na Sekondari,

Kuboresha miundombinu ya katika Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya na Elimu, Kuboresha Lishe kwa watoto, Ulipaji wa madeni mbalimbali, Kuendelea kupambana na Maambukizi ya VVU/UKIMWI, Kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika Uchumi wa Viwanda, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (Climate Change) pamoja na kutambua jitihada za Jamii katika Kukabiliana na Mabadiliko hayo,

Kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwa kuboresha vyanzo vya mapato vilivyopo pamoja na kubuni vyanzo vipya, Kuboresha miundombinu ya kijamii na kiuchumi hususani katika sekta ya elimu, maji, afya, kilimo, mifugo, uvuvi na barabara kwa kuzingatia ubora wa kitaifa.

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali iliidhinisha Matumizi ya kiasi cha tsh 50,144,125,368.98 kati ya hizo tshs 45,232,773,368.93 ni Mapato kutoka Serikali Kuu na wadau wa maendeleo, tshs 4,911,352,000.00. ni mapato kutoka vyanzo vya ndani.

Kati ya fedha hizo, kiasi cha tshs ni Mishahara, tshs 10,246,289,619.52 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo na tshs 5,996,942,749.46 ni matumizi ya kawaida.

kati ya Fedha hizo, kiasi cha tshs 33,900,893,000.00 ni mishahara, tshs 10,246,289,619.52 kwa ajili ya miradi ya maendeleo na tshs 5,996,942,749.46 ni Matumizi ya kawaida.

Hadi kufikia Disemba, 2018 jumla ya tshs 17,975,140,140.01 zilipokelewa, sawa na asilimia 14.13 ya fedha zilizoidhinishwa 2018/2019.

Daudi B. Nyingo

Afisa Habari

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

29/01/2019

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.