• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

CHF Iliyoboreshwa Inalinda Heshima ya Familia-Mfune

Posted on: June 3rd, 2020

Mkuu wa wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune amewataka wakazi wote wa Wilaya ya Mbarali ambao hawajajiunga na Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa, kujiunga na mfuko huo ili kuwa na uhakika wa kupatiwa huduma za matibabu mara watakapougua kwani mfuko huo umekuwa ukilindia heshima katika familia hata kama huna pesa ya matibabu kwa wewe na familia yako.

Mhe. Mfune ameyasema hayo siku ya tarehe 02/06/2020 kwenye muendelezo wa ziara zake za kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa (ICHF) katika kata za Rujewa, Ihahi na Chimala ambapo katika ziara hiyo aliweza kuongea na Wah. Madiwani, Wenyeviti wa Vijiji pamoja na Vitongoji.

“Tanzania ya Jana sio ya leo, watu wengi wanailalamikia CHF ya zamani, zile changamoto zilizokuwepo kwenye CHF iliyopita, Serikali imezifanyia maboresho ili iwe na faida kubwa kwa jamii. Kwa sasa CHF iliyoboreshwa (ICHF) inakuruhusu kutibiwa kuanzia ngazi ya Zahanati, Kituo cha Afya, Hospitali ya Wilaya hadi Hospitali ya Rufaa ya  Mkoa popote pale ndani ya Tanzania.”

“Shilingi 30,000 inauwezo wa kuhudumia familia ya watu 6 ambapo ni sawa na shilingi 5,000 kwa mtu mmoja kwa mwaka na kwa upande wa wanafunzi wanuwezo wa kujichangisha watu 5 na wakapata huduma bila tabu yeyote.”Alisema Mfune.

Mkuu wa Wilaya amewaagiza wenyeviti hao kuonesha mfano kwa jamii kwa kukata bima ya ICHF kwani kwa viongozi hao sio ombi ni lazima ili watakavyokuwa wanatoa elimu kwa wananchi wawe na mifano halisia.

Mhe Mfune amewata wananchi kutoa taarifa kwa viongozi wao pale wanapoona kuna ubaguzi wa utoaji huduma ya afya ili waweze kuwachukulia hatua watumishi wanaofanya hivyo.

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali alianza ziara ya kupita kila kata na kutoa elimu kuhusiana na CHF iliyoboreshwa (ICHF) siku ya terehe 01/06/2020. hadi sasa ameshapita kata za Mwatenga, Ruiwa, Mahongole, Kongoro, Utengule Usangu, Igurusi, Itamboleo, Chimala, Ihahi pamoja na Rujewa, na ataendelea na ziara hiyo siku ya ijumaa ya tarehe 05/06/2020 ili kumalizia kata zilizobaki.

MWISHO

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.