• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

DC Akemea Visingizio Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa, Zahanati

Posted on: October 29th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune amekataa sababu au visingizio vinavyotolewa na viongozi wa kata pamoja na vijiji kuhusiana na zoezi la ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na zahanati wilayani Mbarali.

Mhe. Mfune amekemea visingizio hivyo alipokuwa kwenye mwendelezo wa ziara zake katika kata za Lugelele na Mapogoro siku ya tarehe 29/10/2018 kwa ajili ya kufuatilia maagizo aliyoyatoa kwa viongozi wa kata na vijiji  kuhusiana na ujenzi wa vyumba vya madarasa, Ujenzi wa zahanati, ujenzi wa vyoo, masuala ya lishe pamoja na uandikishaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5.

Katika ziara hiyo Mhe. Mfune amekemea sababu zinazotolewa na viongozi hao kama, “tumepanga, tunamkakati, tutatekeleza pamoja na nyingine zinazofanana na hizo” kwani zinasababisha kazi za maendeleo kutofanyika kwa wakati, anachokitaka yeye ni kuona maagizo aliyoyatoa yanafanyiwa kazi kwa vitendo ili wananchi waweze kupata huduma wakiwemo wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaotarajiwa kuanza masomo ifikapo Januari 2019.

“nikija awamu ya pili sitaki kusikia neno changamoto wala visingizio vya utekelezaji wa maagizo niliyoyatoa, changamoto ni zenu wenyewe mnaweza kuzitatua, wale ambao hawajaanza ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na zahanati, nitakuja mwezi wa 11 mwishoni kukagua hatua za ujenzi zilipofikia”

Kuhusiana na masuala ya lishe pamoja na uandikishaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, Mkuu wa Wilaya ameendelea kusisitiza kuwa, elimu iendelee kutolewa kwenye mikutano ya hadhara inayoeleza umuhimu wa kuandikishwa watoto pamoja na masuala ya lishe kwani vitu hivi ni endelevu na elimu inatakiwa kuendelea kutolewa mara kwa mara.

“Tuendelee kuhamasisha sehemu zenye watoto wadogo wapate vyeti vya kuzaliwa kwani vina faida kwa maisha ya baadae, vyeti vya kuzaliwa vinatolewa bure kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5”

Vilevile Mhe. Mfune ameendelea kuhamasisha watu kujenga vyoo bora na ifikapo tarehe 01/12/2018 hataki kusikia kuna kaya yeyote wilayani hapa haina choo kwani suala hilo halikubaliki popote.

“Pambaneni na wale ambao hawana vyoo wajenge kwa nguvu, kama una nyumba ya kuishi, unashindwaje kujenga choo!, tunachokihitaji ni kuepukana na magonjwa ya milipuko kama kipindupindu na kuhara”

Mwisho

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.