• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

DC Mbarali Awataka Wajasiliamali Wadogowadogo Kutembea Kifua Mbele.

Posted on: January 2nd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune, amewataka wajasiliamali wote wadogowadogo ambao watapatiwa vitambulisho vya utambuzi vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli Kutembea kifua mbele bila ya kuwa na hofu yoyote watakapokuwa wanafanya biashara zao.

Ameyasema hayo alipokuwa kwenye uzinduzi wa vitambulisho hivyo  siku ya jumanne ya tarehe 02/01/2019 alipokuwa akizindua pamoja na kugawa vitambulisho kwa wajasiliamali (wafanyabiashara) wadogoadogo katika ukumbi wa polisi ulipo Kata ya Rujewa wilayani Mbarali.

Akizindua ugawaji wa vitambulisho hivyo, Mhe. Mfune amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli kwa kuwajali wajasiliamali wadogowadogo ambao mauzo ghafi yao hayazidi kiasi cha shilingi milioni 4 kwa mwaka kwa kuona kuwa wana haki ya kufanya shughuli zao bila ya kusumbuliwa.

“Ukishajaza fomu na kuchukua kitambulisho wakati hauna sifa, mkono wa sheria utakukuta, kitambulisho hiki sio kinga ya kuvunja sheria zingine zilizopo, tufanye kazi kwa kufuata sheria, kitambulisho hiki ni kwa ajili ya utambuzi, hatutegemei baada ya miaka 3 utabaki kama ulivyo, fanya kazi kwa bidii timiza malengo, kesho ukue ifike kipindi uwe unalipa kodi kwa ajili ya maendeleo.”

“Tutaweka utaratibu mzuri kwa mujibu wa ratiba ili viweze kutolewa kwenye maeneo yetu tunayoishi, leo tunafanya uzinduzi, sio siku ya mwisho, zoezi hili ni endelevu na siku ya mwisho kugawa tutawajulisha. kitambulisho hiki ni kwa ajili ya kuto lipa kodi za sekta rasmi kama TRA, Leseni na nyinginezo” alisema Mhe. Mfune

Akizungumza katika kikao hicho, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mbarali Ndg. Hashimu Mwalihawa alisema kuwa, lengo la Mhe. Rais ni kuwasaidia wanyonge ambao ni wafanyabiashara wadogowadogo, kila mtu kwa nafasi yake amsaidie Mhe. Rais kama ni kweli wale watakaochukua vitambulisho wamefuata vigezo vilivyowekwa.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma H. Msangi alisema kuwa, yeye na timu yake wamejipanga kuhakikisha kunakuwa na kituo katika kila kijiji ili wajasiliamali wasisumbuke kuvitafuta, na wale wote waliohudhuria uzinduzi watapatiwa vitambulisho vyao leo kama watakuwa wamekidhi vigezo.

Sifa za kupewa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogowadogo ni pamoja na, mauzo Ghafi yao yasizidi kiasi cha shilingi milioni 4 kwa mwaka yaani shilingi elfu 12 kwa siku, uwe haujasajiliwa na TRA yaani kupata namba ya mlipa kodi (TIN NAMBA), Vitambulisho hivyo vitatolewa kwa kulipia kiasi cha shilingi elfu 20 mara baada ya kujaza fomu maalumu ambayo itakuhitaji kuwa mkweli na ukigundulika umefanya undanganyifu ili kujipatia kitambulisho, utachukuliwa hatua kali za kisheria sambamba na kunyang’anywa kitambulisho hicho.

Jumla ya vitambulisho 46 vimetolewa kwenye zoezi la uzinduzi kwa wafanyabiashara wadogo wadogo ambao wamekidhi vigezo. Vitambulisho vingine vitaendelea kutolewa katika ofisi za kata na vijiji kwa utaratibu utakaopangwa

MWISHO

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.