• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Faida zinazopatikana kutokana na uhifadhi zinarudi kwa wananchi kupitia shughuli za maendelo – Lihiru

Posted on: March 12th, 2020

Hayo yamesemwa na mjumbe wa timu maalumu ya kutoa elimu ya uhifadhi na ujirani mwema Mhifadhi kutoka Hifadhi ya Taifa kitulo Ndg. Agricola Lihiru alipokuwa akitoa elimu kuhusina na uhifadhi wa hifadhi za taifa pamoja na ujirani mwema siku ya tarehe 12/03/2020

Lihiru amesema kwamba zipo faida nyingi tunazoweza kuzipata kutoka kwenye uhifadhi ikiwemo kuendeleza miradi ya maendeleo iliyoibuliwa na wananchi kwa kuchangia asilimia 90 ya mradi na kuchangia kwenye mfuko wa taifa ili kusaidia shughuli za kimaendeleo.

Mhifadhi amebainisha baadhi ya miradi iliyofadhiliwa na Hifadhi ya Taifa za Tanzania (TANAPA) kuwa ni pamoja na ujenzi wa bwalo la shule ya sekondari ya Mawindi, utengenezaji wa madawati katika shule ya msingi ya Luango, ujenzi wa vyumba vya madarasa Kata ya Igava pamoja na ujenzi wa zahanati ya Madibira.

Naye Afisa Ujirani Mwema kutoka Hifadhi ya Taifa ya Kitulo Ndg Mollel Heriel ameweza kubainisha mambo mbalimbali ambayo hayaruhusiwi katika maeneo ya hifadhi kuwa ni pamoja na kutokufanya shughuli za kibinadamu kama kuwinda , kuingiza mifugo, kuweka makazi, kuchoma moto na mkaa kuwinda wanyama pori, kuvuna misitu,, uvuvi, kuwinda , kuchimba madini na kuingia na silaha yoyote.

Aliongeza kuwa muingiliano wa wanyama wa kufugwa na wanyamapori inaharibu uasilia wa wanyama pori pamoja na muingiliano wa magonja kutoka kwa wanyama wa kufungwa kwenda kwa wanyama pori au wanyama pori kwenda kwa wanyama wa kufugwa majumbani

Muikolojia Kutoka Hifadhi ya Taifa Ruaha Ndg Daniel Mathayo aliongeza kuwa kuna hifadhi 22 za taifa kwa sasa ambazo zinahifadhi wanyama pori na mazingira ambapo katika hifadhi hizo wananchi na wageni wanaruhusiwa kwenda kufanya utalii wa picha ambapo kwa mtanzania mtu mzima ni tsh. 5000 na mtoto ni 2000 vilevile inaruhusiwa kwenda kufanya matambiko kwa kibali maalumu ili waweze kupatiwa ulinzi.

Aliongeza kuwa TANAPA imeanzisha tuzo ya uhifadhi mazingira ambayo inashindanisha wananchi ambao wanafanya shughuli za uhifadhi wa mazingira kama watu binafsi, taasisi, vikundi na jumuiya za watumia maji ili kuimbarisha ujirani mwema, kuboresha mazingira na vyanzo vya maji, ambapo kwa sasa imeshafanyika kwa wilaya za Mbarali, Wangingombe, Makete, Mufindi na Kilolo na mwaka huu imeongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.
MWISHO

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.