• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Iwe mwisho!msizoee tabia hii maana mbunge leo anatoa ipo siku hatotoa- Makamu wa Rais

Posted on: July 31st, 2018


MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka wakazi wilayani Mbarali mkoani Mbeya kuacha tabia ya utegemezi ya kuchukua mikopo na kutolipa wakisubiri neema ya kusamehewa au kulipiwa na watu wengine.

Mhe. Suluhu aliyasema hayo alipofanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Kapunga kata ya Itamboleo baada ya mbunge wa jimbo hilo Phil Mohamed kutangaza uamuzi wa kujitwisha mzigo wa kulipa deni la shilingi milioni 800 wanazodaiwa baadhi wakulima 334 wakazi wa Wilaya ya Mbarali walipokopa Powertiller benki.

Mbunge wa Jimbo la Mbarali Mhe Haroon Pilmohamed alisema wakulima hao walishindwa kulipa deni hilo ambalo awali Serikali za vijiji ndizo ziliwadhamini na sasa kumekuwa ne kero ya kuwadai na kusababisha baadhi yao kukimbia nyumba zao.

Kufuatia hali hiyo, Makamu wa Rais alimpongeza Mbunge huyo kwa moyo wa kujitolea lakini akaonya iwe mara ya mwisho kwa wananchi kukopa na kusubiri mserereko wa kulipiwa.

“Iwe mwisho!msizoee tabia hii maana mbunge leo anatoa ipo siku hatotoa au ataondoka aje asiyetoa nani atakaye walipia.Acheni utegemez.Mbona Mungu anawaajalaaia kipato mnalima mpunga mnapata kwa nini msilipe.Mnayo miradi mingine pia inawapa vipato.”

“Nawasihi wana kapunga na wana Mbarali mtambue kuwa hii pia mnamchukiza hata Mungu anayewajaalia mnapata mazao mengi.Jifunzeni kujisimamia maana mkiendelea kusubiri kulipiwa itakuja mikopo mingine watu wataogopa kuileta huku kwenu” alisisitiza.

Wakati huo huo makamu wa Rais aliwataka wakazi wilayani Mbarali kutojipendelea wao pekee katika matumizi ya maji ya vyanzo vya mto Ruaha badala yake watambue kuwa zipo pande tatu muhimu zinazotegemea maji hayo.

Alizitaja pande hizo tatu kuwa ni wao wenyewe wakulima, wanyama na ikolojia yote ya hifadhi ya Ruaha na pia uzalishaji wa umeme katika bwawa la Mtera.

“Kabla sijaja na kampeni yangu inayolalamikiwa tulipita kule hifadhini na kujionea wanyama wanavyopata shida.Tembo ndiyo analazimika kuchimba ardhini ili apate maji ya kunywa.Wanyama wengine wadogo wadogo wanalazimika kupanga foleni wakimsubiri achimbe, anywe atosheke akiondoka ndipo na wao wapate nafasi ya kunywa.Lakini baada ya kufukua mifereji na mito mliyokuwa mmeelekeza kwenye mashamba yenu maji yamerudi kule.”

“Tutambue kuwa wanyama hawaongei, kuwa na wao siku moja wataweka mkutano wa hadhara waseme tuleteeni maji. Ni lazima tuwaonee huruma hivyo tusibaki kusema maji yawe kwa kilimo chetu tu.Tukumbuke pia kwa kukosa maji namna tulivyopata shida ya umeme miaka kadhaa iliyopita.Sasa sisi tunasema Tanzania ya uchumi wa viwanda tutawezaje kama tutakosa umeme kwa kuruhusu maji yote yatumike kwa kilimo pekee” alisema.

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.