• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

KILICHOJIRI KWENYE MKUTANO WA MKUU WA MKOA WA MBEYA MHE. ALBELT CHALAMILA NA WANANCHI WA WILIYA YA MBARALI TAREHE 04/09/2018 KATIKA KATA YA UTENGULE USANGU

Posted on: September 5th, 2018


Nawapongeza kwa umoja na heshima mlioionyesha kwa viongozi wa Serikali hasa katika kuhakikisha Kituo cha Afya cha Utengule Usangu kinakamilika. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Kituo hiki cha afya kitakuwa kama kituo cha rufaa kwa kata na vijiji vya jirani vinavyoizunguka kata hii. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Pamoja na Serikali kutoa pesa za uboreshaji wa kituo cha afya nimeambiwa kuwa wananchi wa Utengule Usangu mmejitoa katika kuchangia ujenzi wa kituo hiki. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Mnapaswa kuwa walinzi wakubwa wa miundombinu ya kituo cha afya maana kuna watu wachache wanapanga mipango ya kuiba miundombinu hiyo. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Nimeona mavumbi ya kwenye kituo chetu cha afya, nimemuagiza Mkuu wa Wilaya awasiliane na wakala wa barabara (TANROAD)  ili waje waweke kifusi, pamoja na uwekaji wa kifusi, upandaji wa miti uendelee. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Nimezunguka Tanzania nzima, sijawahi kuona Mbunge mwenye kasi ya maendeleo kama Mbunge wa Jimbo la Mbarali. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Watendaji wote kuanzia ngazi ya Wilaya, kata hadi vijijini simamieni kufanyika kwa mikutano ya ufafanuzi wa vitu vya msingi kwa wananchi wote. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Mkoa wetu upo vibaya kwenye suala la lishe, nawaomba akina mama na akina baba mzingatie lishe za watoto wetu. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Watendaji wa Kata na Vijiji naomba mpango kazi maalumu wa kuhakikisha kila kaya ina choo bora, choo bora ni kile ambacho hakiwezi kusababisha maradhi katika jamii yetu. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Maendeleo ya Wanautengule Usangu yatafanywa na wanautengule usangu wenyewe. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Kazi iliyofanyika kwenye kituo cha afya ni nzuri na ni kubwa mno, nawapongeza wananchi wenzangu wa Utengule Usangu kwa kujitoa kuchangia ujenzi wa kituo hiki nami naahidi kuchangia kiasi cha shilingi milion 5. Mbunge wa Jimbo la Mbarali

Naiomba ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi kama itatokea ujenzi mwingine wa majengo ya SerikaLi, tutumie mfumo kama huu uliotumika katika ujenzi wa kituo cha afya utengule usangu. Mbunge wa Jimbo la Mbarali

Nitaendelea kushirikiana na wananchi wenzangu hasa kwenye maswala ya upatikanaji wa maji, nitaendelea kuchimba visima vya maji kwa wingi, kwa sasa nimeagiza gari maalumu nje ya nchi la kuchimba visima, kwa hiyo nipo nanyi siku zote kwa maendeleo yetu. Mbunge wa Jimbo la Mbarali

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.