• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

KILICHOJIRI MKUTANO WA MKUU WA MKOA WA MBEYA MHE. ALBELT CHALAMILA NA WANANCHI WA WILIYA YA MBARALI TAREHE 03/09/2018 KATIKA KATA YA UBARUKU

Posted on: September 4th, 2018


Rais ameniteua nije kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Rais hakuniteua nije niufute upinzani au nije niwachekee wapuuzi bali ameniteua nije niwaunganishe wananchi wa mbeya na kuendelea kushirikiana nao katika kuwaletea maendelea. Mkuu wa Mkoa

Hakuna maendeleo yanayofanywa kwa siku moja na hakuna Serikali duniani kote iliyofanya maendeleo kwa siku moja. Mkuu wa Mkoa

Mkuu wa Wilaya azunguke na wananchi kuwaonyesha eneo lote la shamba la Mbarali Estate lililotolewa na Mwekezaji ambalo lina ukubwa wa hekta 548 sawa na ekali 1354. Mkuu wa Mkoa

Kisheria eneo ukishaliuza kwa mwekezaji, huna mamlaka ya kumpangia cha kufanya. Mkuu wa Mkoa

Kuna watu wachache wanaoeneza migogoro kwa maslahi ya wachache. Mkuu wa Mkoa

Nataka nikirudi ubaruku nikute vijana wanafanya kazi ili kusukuma maendeleo. Mkuu wa Mkoa

Nikimaliza ziara katika wilaya ya mwisho nitakuja tena mbarali ili nikafike kwenye shamba la Mbarali Estate nione kinachozungumzwa na kulalamikiwa. Mkuu wa Mkoa

Kuwe na utaratibu maalumu ya kuwaelekeza wananchi kuhusu mikopo inayotolewa na Serikali upande wa Wanawake, Vijana na Walemavu ili mikopo hiyo itolewe hasa kipindi cha kilimo. Mkuu wa Mkoa

Unyonyaji wa wakulima ifike mahara tuyamalize, wote tunapenda pesa ila pesa za dhurma sio nzuri. Mkuu wa Mkoa

Kuna baadhi ya watu wamekuwa ni madarali wa nguvu za wakulima, wanawakopesha wakulima pesa kwa riba kubwa, polisi wapeleleze wale wote wanaokopesha wananchi na wawaulize wanawakopesha kwa riba za asilimia ngapi. Mikopo itolewe kwa kusaidia wananchi na sio kuwaumiza wananchi. Tafuteni watu wasafi waweze kufanya kazi kwa niaba ya serikali. Mkuu wa Mkoa

Kuna mchezo wa kutolipa kodi kwa hiyari, kila mfanyabiashara ni wakala wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika kukusanya kodi. Mkuu wa Mkoa

Marufuku Mamlaka ya Mapato (TRA) kufanya makisio ambayo yanawaumiza wafanyabiashara. TRA na wafanyabiashara ni wadau wanaotegemeana. Kuripa kodi ni sheria anzeni operation maalumu kwa wale wenye mashine za EFD wanaofoji risiti, wale wenye mashine za EFD wasiotoa risiti pamoja na wale  wafanyabiashara wenye hadhi ya kununua mashine za EFD na hawataki kununua mashine hizo. Vilevile bila wakamateni wale wanatumia mashine fake za EFD(batili). Mkuu wa Mkoa

Watafutwe wale wote waliouza na kununua powetila za wananchi zilizotolewa na Mhe. Mbunge kwa ajili ya matumizi ya umma na waweke ndani, na yeyote atakaetumia jukwaa la kisiasa kufitinisha wananchi na Serikali akamatwe. Mkuu wa Mkoa

Mhe. Haroon Pirmohamed Mbunge Wa Jimbo la Mbarali amemuomba Mkuu wa Mkoa Kumkumbusha Makamu wa Rais kuhusiana na kuharakisha kuhusu GN 28 (Tangazo la Serikali namba 28).

 Nitachangia kiasi cha shilingi milion 5 ili iweze kufufuka na kuendelea kukopesha wananchi. Mhe. Mbunge

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.