• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Kufika mwaka 2020 kila Kijiji kitakuwa na Zahanati na kila kata itakuwa na kituo cha Afya- Mfune

Posted on: May 13th, 2019

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune siku ya tarehe 12/05/2019 kwenye maadhimisho ya siku ya Wauguzi Duniani iliyofanyika kiwilaya katika ukumbi wa Polisi uliopo Kata Rujewa wilayani hapa.

Mhe. Mfune alisema kuwa katika kuboresha utoaji huduma ya Kada ya afya, atahakikisha kufikia mwaka 2020 kila kijiji kitakuwa na zahanati na kila kata itatakiwa kuwa na kituo chake cha afya, na katika kampeni hiyo ataendelea kuhimiza ujenzi wa nyumba za watumishi wa Sekta ya Hiyo.

Sambamba na hilo amewataka Wauguzi wote wa Wilaya Mbarali kufanya kazi ambayo haitaleta manung’uniko au migongano kwa wateja wanaowahudumia, kwani  wauguzi wana kazi kubwa sana. Kila sehemu zinakotolewa huduma za afya, Wauguzi ndio wengi kuliko kada  nyingine zote.

“Nawapongeza Wauguzi kwa utendaji kazi wenu mzuri kwani kwa kipindi cha miaka mitatu niliyofanya kazi  hapa Mbarali sijapoke malalamiko makubwa  yanayowahusu Muuguzi,  endeleeni kusaidia wagonjwa kwa vipaji mlivyopewa na Mwenyezi Mungu kupitia mafunzo mliyoyapata. Kila mmoja wenu aone kila siku ni siku ya kujifunza kutokana na teknolojia inavyobadilika.”

Sambamba na hilo Mhe. Mfune amewataka Wauguzi wote kufanya kazi kwa bidii na kufuata maadili ya kazi za uuguzi na amemtaka  Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya  kuwaangalia wauguzi kwa jicho la kipekee na kutenda haki kwa kila anaestahili na kutoa pongezi kwa kila anaestahili pongezi.

Wakiongea katika Risala yao Wauguzi walibainisha baadhi ya changamoto wanazokutananazo zikiwemo, kutopandishwa vyeo kwa wakati, kutolipwa  malimbikizo ya nyongeza ya mishahara, uhaba wa  Maafisa Tabibu, uhaba wa nyumba za watumishi, upungufu wa wauguzi katika vituo vya kutolea huduma pamoja na baadhi ya wazazi kuchelewa kufika vituoni wakati wa kujifungua, hali inayopelekea baadhi yao  kujifungulia   njiani   na kusababisha vifo vitokanavyo na uzazi.            

Naye Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Mbarali Dr. Godfrey Mwakalila amewataka Wauguzi kutekeleza wajibu wao vizuri kwa wagonjwa wanaowahudumia kwani wasipotekeleza, daktali hawezi kumuhudumia vizuri mgonjwa. 

Siku ya wauguzi huadhimishwa kila mwaka tarehe 12/5 kwa kumbukumbu ya  Muuguzi BI, FRORENCE NIGHT NGALE ambaye alizaliwa huko Italia  tarehe  12/05/1820 akiwa ni mtoto aliyetokea katika familia ya  kitajiri lakini aliyejaliwa kuwa na moyo wa huruma na wito katika swala zima la huduma kwa wagonjwa.

Mnamo mwaka 1833 ilipotokea vita kati ya Waingereza na Warusi, Muuguzi huyo alipata huruma kuwaona askari waliojeruhiwa wakiwa wameachwa bila msaada wowote na yeye alijitoa mhanga kuwahudumia majeruhi hao kwa kuwafunga vidondo vyao.

Nyakati hizo hapakuwepo na mwanga wa umeme au taa maeneo hayo. Lakini alitumia vibatari na kufanikiwa kutoa huduma vizuri na majeruhi walipona.

Kauli mbiu ya mwaka huu katika maadhimisho ya sherehe  ni WAUGUZI NI MBIU INAYOONGOZA AFYA KWA WOTE

MWISHO

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.