• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Magonjwa Mengi Yanasababishwa na Uzembe wa Kutofanya Mazoezi – Mfune

Posted on: November 25th, 2018

Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune siku ya tarehe 24/11/2018 alipokuwa akifungua mashindano mbalimbali ya Bonanza aliyoyaandaa kwa ajili ya kuwakutanisha Watumishi wa Sekta za Umma na Sekta Binasfi.

Mhe. Mfune amewataka wananchi wote wa Wilaya ya Mbarali kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi kila mara, sio kusubili hadi watakapopatwa na magonjwa au kushauriwa na daktari.

 

“Mazoezi sio lazima kukimbia, hata ukitembea mwendo wa haraka kwa muda wa nusu saa na ukatokwa na jasho, inatosha kwa siku. Sehemu ambazo unaweza kutembea kwa miguu ni vyema ukafanya hivyo kuliko kutumia vyombo vya usafiri”

Mkuu wa Wilaya ametoa maelekezo kwa kata zote pamoja na vijiji vilivopo ndani ya Wilaya ya Mbarali kuweka utaratibu wa kufanya mazoezi ya pamoja kwa kila siku za jumamosi sambamba na kuundwa kwa club mbalimbali za jogging, vilevile amazitaka shule zote kuwawekea wanafunzi utaratibu wa kufanya mazoezi kila siku kabla ya kuanza kwa masomo.

Kuhusiana na suala la Uchangiaji wa damu pamoja na upimaji wa virusi vya ukimwa ambapo zoezi hilo lilikuwa linaendelea uwanjani hapo, Mhe Mfune amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kwa wingi kuchangia damu ili ziweze kuokoa maisha ya wengi kwani hakuna kiwanda cha damu, damu inatoka kwa binadamu. Utafiti wa kisayansi bado haujathibitisha kuchukua damu ya mnyama na kumuongezea binadamu, hivyo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuchangia damu ili kuokoa maisha yawengine.

 

“Tunapoambiwa Mume na Mke ni mwili mmoja, sio kwamba mnalingana damu, kila mmoja ana damu yake, tujitokeze kwa wingi ili tuweze kujua afya zetu”.

Baadhi ya watumishi waliohudhuruia Bonanza hilo, wamemuomba Mkuu wa Wilaya kufikilia kuweka utaratibu wa kufanyika kwa Mabonanza kama haya walau mara 4 kwa mwaka.

Lengo la kuandaa bonanza lilikuwa ni kuwakutanisha Watumishi kutoka Taasisi za Umma pamoja na Sekta binafsi  ili waweze kufahamiana, kubadilishana mawazo pamoja na kupata burudani. Michezo iliyokuwepo uwanjani hapo ni pamoja na Matembezi ya pamoja kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hadi viwaja vya shule ya msingi Ibara umbali wa km 3.5, Mpira wa Miguu, Netball, Mpira wa Wavu na maonyesho ya baiskeli.

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.