• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mbarali yazidi kupata hati safi inayoridhisha kwa miaka 3 mfululizo

Posted on: July 4th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, imeendelea kupata Hati safi inayoridhisha kwa kipindi cha miaka 3 mfululizo tangu mwaka fedha wa Serikali 2015/2016, 2016/2017 na 2017/2018.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Albert Chalamila kwenye kikao maalumu cha  kujadili majibu ya hoja na utekelezaji wa mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2017/2018 na hoja za miaka ya nyuma na ili  kuona mapungufu yaliyopo, tulipo na wapi tunaweza kujirekebisha kwenda mbele kwa ajili ya kaguzi zijazo.

“Nawapongeza kwa mafanikio ya kuotoka mwenye hati mbaya na hati zenye mashaka na sasa mpo kwenye hati safi zinazoridhisha. Ushirikiano kati ya Madiwani na Wataalamu ndio nguvu ya Halmashauri, kila mtu anamapungufu yake, tusaidiane mapungufu hayo yawe ya kibinadamu zaidi ili tusiikwamishe Halmashauri.”

Katika kikao hicho Mhe. Chalamila aliipongeza Halmshauri ya Wilaya ya Mbarali kwa kukusanya kiasi cha tsh. bilioni 4.0 kati ya tsh. bilioni 4.7 walizojiwekea malengo kufikia juni mwaka huu 2019 pamoja na kufanikiwa kufikia asilimia 85 ya makusanyo yake ya ndani.

Aliongeza kuwa kusingekuwa na changamoto ya marekebisho ya sheria tungekusanya zaidi kwani ni bora ukawa wa mwisho kwenye ubora kuliko ukawa wa kwanza kwenye vibonde.

“Lazima muweke kipaumbele kama Halmashauri, mkikusanya billion 4 angalau muwe na kitu hata cha bilioni 1 au milioni 800 mnachoweza kukionesha kwa ukumbusho wa makusanyo ya mwaka furani, lakina kama pesa zote zitapotea katika vitu ambavyo havionekani vizuri hata kama mmefanya vitu vya kisheria mnakuwa bado hamjaacha alama.”

“Mnaweza mkaweka malengo ya miaka miwili au mitatu kukamilisja miradi ambayo mnazani mkiondoka mnaweza kuionyesha kwa wananchi. Tusiishie tu kwenye makusanyo lakini twende kwenye nidhamu ya matumizi pamoja na kupanga vipaumbele vizuri kwa ajili ya vizazi vijavyo.” Alisema.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mhe. Francis Mtega amemhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Alabert Chalamila kuendeleza ushirikiano uliopo kati ya wataalamu na Waheshimiwa Madiwani paomja kuhakikisha wanazisiamamia vizuri mali zote za Halmashauri ili ziwe salama.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma H. Msangi ameishukuru ofisi ya CAG kwa ushirikiano mzuri wanaoutoa  kwani ukaguzi wa kipindi hiki umekuwa wa kushirikiana.

Kuhusiana na suala ya makusanyo Msangi alisema kuwa makusanyo yote ya Halmashauri kwa sasa yamepelekwa kwenye ngazi ya kata na kuyaondoa kwenye ngazi ya kanda. Ushuru wa gunia la mpunga limeshuka kutoka kiasi cha sh 2,000 hadi kiasi cha shilingi 1,000 na kwa upande wa mchele imeendelea kubaki kiasi cha tsh 2,000 kama ilivyokuwa awali.

Waheshimiwa Madiwani wamemshukuru Mkuu wa Mkoa pamoja na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kuwaongoza katika kusimamia kupunguza hoja zilizokuwepo na wamewataka Wataalamu wa Halmashauri kuto rudi tulikotoka katika kuzalisha hoja bali waendelee kusonga mbele kutozalisha hoza zisizo za lazima

MWISHO


Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.