• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Milioni 400 Kuboresha Kituo cha Afya Utengule Usangu Mbarali

Posted on: January 26th, 2018

“Jumla ya kiasi cha Tsh. Milioni Mia Nne (400,000,000/=) zimeletwa katika Kata ya Utengule Usangu kwa ajili ya kuboresha Kituo cha Afya.”

Hayo yamesemwa na  Katibu Tawala ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Ezekia Kilemile akimwakilisha Mh. Mkuu wa Wilaya kwenye Mkutango wa hadhara na wananchi wa Kata ya Utengule Usangu aliouitisha kwa ajili ya kuwakabidhi mradi wa uboreshaji wa kituo cha cha afya Utengule Usangu.

Akihutubia katika mkutanoa huo uliohudhuliwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya pamoja na Kamati ya Maendeleo ya Kata (WDC), katibu Tawala alisema kuwa fedha hizo zinatakiwa kujenga Majengo zaidi ya sita (6) pamoja na kufanya ukarabati katika Majengo yaliyopo ambayo jumala yake yanafikia kumi na nne (14), ambayo yamewekwa kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali.

Majengo hayo ni Ujenzi wa Jengo la Maabara, Jengo la Upasuaji, Jengo la Wodi ya Watoto, Jengo la Wodi ya Wazazi, Jengo la Nyumba ya Mtumishi, Jengo la kuhifadhia Maiti, Ujenzi wa Tanuru la kuchomea takataka, kufanya ukarabati wa mtandao wa maji, ukarabati wa Jengo la Wangonjwa wa nje (OPD), ukarabati wa Jengo la CTC, ukarabati wa Jengo la Wanaume na Wanawake pamoja na kuunganisha umeme katika Majengo yote. Majengo yote yanatakiwa kujengwa kwa viwango vilivyokubalika.

Kilemile alisema kuwa jumla ya Kamati nne zimeundwa ili kuhakikisha fedha hizo zinafanya kazi kubwa. Kamati hizo ni Kamati ya Ujenzi, Kamati ya Mapokezi, Kamati ya Manunuzi na Kamati ya Usimamizi. Kamati hizo zote zitasimamia Ujenzi kwa ujumla ikiwemo kuhakikisha fedha zilizopo zitatumika kununua bidhaa kwa bei ya sokoni bila kufuta utaratibu wa wazabuni.

Katibu Tawala aliongeza kuwa, kuna mambo ambayo jamii inatakiwa ishiriki ikiwamo kutoa nguvu kazi ili kusaidia kazi zitakazokuwa zinafanyika kwenye mradi ikiwemo kuchangia tofari kutoka kila Kijiji, Mchanga, pamoja na Mawe, kwani fedha hizi zimeletwa ili ziweze kusaidiana na nguvu za wananchi ambao wana jukumu la kujenga Kituo chao cha Afya.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Kivuma H. Msangi aliongeza kuwa Wilaya ya Mbarali imekuwa na bahati kuweza kupata pesa za mwanzo katika awamu ya pili, tunatakiwa kuidhihirishia Serikali kuwa kweli kulikuwa na uhitaji wa fedha hizo kwa kuhakikisha tunapata Kamati za watu waaminifu na kuhakikisha fedha hizo hazitumiki kwa Matumizi yasiyokusudiwa kama posho wala usafiri.

Msangi aliongeza kuwa kama nguvu za wananchi zitatumika vizuri, Fedha hizo zitatosha kuweza kujenga na kukarabati Majengo yote kwani fedha tulizonazo ni shilingi Milioni Mia Nne (400,000,000/=) na ili kufanikisha shughuli zote   tunatakiwa kuwa na kiasi cha shilingi milioni mia tano na  hamsini na tano, mia moja na tisa elfu mia nane kumi na mbili (555,109,812/=).

Wananchi wa Kata ya Utengule Usangu wameishukuru Serikali kwa kuweza kupeleka Mradi huo kataka kata yao, na wameahidi kutoa ushilikiano katika kila jambo ili kuwenza kufanikisha uboreshwaji wa Kituo cha Afya cha Utengule Usangu.

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.