• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mkuu wa Wilaya Afurahishwa na Kasi aa Ujenzi wa Zahanati na Vyumba vya Madarasa Wilaya ya Mbarali

Posted on: March 27th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Mhe. Reuben Mfune amefurahishwa na kasi ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa na Zahanati alipofanya ziara tarehe 26.03.2018 katika Kata za Miyombweni, Igava pamoja na Mawindi kwa ajili ya kujionea Maendeleo ya ujenzi  unavyoendelea pamoja na kujiridhisha utekelezaji wa Maagizo aliyoyatoa kwa maafisa Ugani katika kuboresha kilimo siku ya tarehe 03.11.2017

Akiwa katika Kata ya Miyombweni, Mhe Mfune amevitaka Vijiji vya Magigiwe na Miyombweni  kukamilisha ujenzi wa Zahanati haraka iwezekanavyo na ameahidi kurudi tena mwishoni mwa mwezi wa saba ili kujionea hatua zilizofikiwa.

Kuhusu Ukamilishaji wa vyumba vya madarasa kwa kata ya Miyombweni, ameagiza hadi kufikia tarehe 31.03.2018 madarasa yote yawe yamekamilika.  Vilevile amewapongeza maafisa Ugani wa kata hiyo kwa kufanya kazi za kuwahudumia wakulima na amewataka waongeze jitihada ili wakulima waweze kujiongezea kipato.

Akiwa katika Kata ya Igava, Mhe Mkuu wa Wilaya, amevipongeza Vijiji vilivyomaliza ujenzi wa zahanati na amekitaka Kijiji cha Vikae kuanza ujenzi haraka na hadi kufikia June mwaka huu ujenzi uwe umefikia katika hatua nzuri.

Kwa upande wa vyumba vya madarasa amewapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya kwani kwa hatua waliyofikia wanaziada ya vyumba viwili vya madarasa na amewataka kuanza kuandaa Madawati kwa vyumba vilivyozidi. Na kwa upande wa Kilimo amewataka maafisa Ugani kujitahidi kuwafikia wananchi kadri wawezavyo na waendelea kutoa elimu kwa kutumia mikutano ya hadhara.

Akiwa katika Kata ya Mawindi, Mhe Mfune ameridhishwa na ujenzi wa Bwalo la Chakula la wanafunzi unaoendelea katika shule ya Sekondari Mawindi na amewataka kuongeza kasi ili wanafunzi waanze kulitumia bwalo hilo mapema iwezekanavyo.

Mhe Mkuu wa Wilaya amefurahishwa na kasi iliyopo ya umaliziaji wa Kituo cha Afya mawindi na amevipongeza Vijiji vyote kwa kukamilisha ujenzi wa zahanati sambamba na kuwapongeza maafisa Ugani kwa kuendelea kutoa elimu kwa wananchi hasa katika zao la korosho.

Akihitimisha ziara yake, Mhe Mfune amewataka maafisa ugani wote kuendelea kutoa elimu kwa wananchi na kuhakikisha wapo sambamba hadi msimu wa mavuno utakapokamilika, kuwaelimisha wakulima katika uhifadhi wa Chakula, namna ya kuweka dawa na kutoa ushauri kuhusu msimu wa kuuza Mazao ili waweze kupata faida na waweze kuendana na soko.

kuhusu zahanati Mhe Mkuu wa Wilaya amevitaka Vijiji vyote ambavyo bado havijamaliza ujenzi wa Zahanati kumalizia ujenzi mapema na ameahidi kupita mwishoni mwa mwezi wa saba ili kujionea kinachoendelea.

Daudi B. Nyingo

Afisa Habari na Mahusiano

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mbeya

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.