• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Ndani ya Siku 14 Madeni Yote ya Tuzo za Wafanyakazi Hodari Yawe Yameshalipwa – Makalla

Posted on: May 1st, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla, ametoa muda wa siku 14 kwa waajiri wote waliopo Mkoa wa Mbeya kulipa malimbikizo ya madeni ya tuzo za zawadi za wafanyakazi hodari zilizokwisha tolewa kwa miaka iliyopita.

Ameyasema hayo kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyakazi tarehe 01/05/2018 (Mei Mosi) katika Viwanja vya Sokoine alipokuwa akiwahutubia wafanyakazi wote wa Mkoa wa Mbeya waliojumuika kwa pamoja kutoka katika Wilaya na Halmashauri zote za Mkoa wa Mbeya.

Mhe Makalla aligungua kuwa kuna baadhi ya tuzo za zawadi  zilizotolewa miaka ya nyuma hazijakabidhiwa kwa walengwa hadi sasa na kuamua kutoa agizo hilo la siku 14.

Katika kuhadhimisha sherehe hiyo ya wafanyakazi Duniani, Mhe Mkuu wa Mkoa amewapongeza Wakuu wa Wilaya kwa kushirikiana kwa karibu na wafanyakazi wote katika maeneo yao na  kupelekea Mkoa wa Mbeya kushika nafasi ya pili kwenye ukusanyaji wa Mapato Kitaifa pamoja na nafasi mbalimbali za Kitaifa hasa katika sekta ya elimu.

“Natambua changamoto zote zinazowakabili wafanyakazi, ila hatujawahi kusikia migomo, nawapongeza sana wafanyakazi, tukae pamoja, tutatue changamoto zinazotukabili wakati Serikali ikishughulikia changamoto zetu.”

Mhe Makalla aliongeza kuwa, Serikali kwa kushirikia na vyama vya wafanyakazi itaendelea kutatua kero za wafanyakazi ili waweze kuwahudumia wananchi kwa kiwango kinachotakiwa ikiwamo kusikiliza na kutatua kero zao kwa kutumia vizuri masaa ya kazi.

Kwa upande wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii, Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka Viongozi wote wa mifuko hiyo kulipa mafao ya wafanyakazi kwa wakati na wawashughulikie wale wote wanaowakwamisha.

“Fuatilieni fedha za michango zinazochangshwa kwa waajiri, elimu itolewe kwa waajiri na wafanyakazi ili kila mtu atimize wajibu wake.” Alisema Makalla

Akiongea kwa niaba ya wafanyakazi wote wa Mkoa wa Mbeya ndg Melboth Kapinga katibu wa TUICO Kanda, Alisema kuwa vyama vya wafanyakazi vinapongeza jitihada zinazofanywa na Mkoa katika kutatua kero mbalimbali ila wanatoa rai kwa Serikali kutafutiwa ufumbuzi kuhusu suala la mishahara hasa katika suala la makato.

Kuhusiana na madeni Kapinga alisema kuwa, madeni mengi ya watumishi hayajalipwa kwa wakati na hata walioanza kulipwa wamelipa kwa uchache sana.

KAULI MBIU YA MEI MOSI 2018 NI; “Uunganishaji wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Ulenge Kuboresha Mafao ya Wafanyakazi”

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.