• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Tuache kupeleka kadi zetu za BANK kwa watu wa mitaani-Msangi

Posted on: October 6th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma H. Msangi, amewaasa baadhi ya walimu wanaopeleka kadi zao za  Bank (ATM) kwa watu wa mitaani kama dhamana ili waweze kukopeshwa fedha kuacha mara moja kwani shida haziishi na fedha hazijawahi kutosha vilevile wanaidhalilisha kada ya ualimu.

Ameyasema hayo siku tarehe 05/10/2019 kwenye maadhimisho ya siku ya walimu duniani ambapo kiwilaya yamefanyika katika kata ya Rujewa.

“Walimu wengi wamekuwa wakifundisha katika mazingira magumu, moja ya sifa ya Walimu ni ustahimilivu, vilevile Walimu ni watu wa kujitolea, kupitia hayo yote kada ya ulimu imekuwa na umuhimu na ina heshima, hata viongozi siku zote wamekuwa wakiwakumbuka walimu waliowafundisha. Walimu msikate tamaa, tunafahamu kuwa mazingira yenu ya kazi ni magumu”

Naye katibu wa Chama cha Walimu (CWT) Wilaya ya Mbarali Bi. Melea Nyang’uye alisema kuwa, siku ya Walimu Duniani ilianzishwa na Rais wa India mwaka 1967 na ikawa inaazimishwa katika siku ya kuzaliwa kwake yaani tarehe 5 Septemba lakin baadae ikabadilishwa na kuwa tarehe 5 Oktober na kwa upande wa Tanzania Chama cha Walimu kilianza rasmi mwaka 1996.

Bi. Melea amewataka Walimu kuishi katika maadili ya kazi zao kwani zamani mitihani ya darasa la saba ilkuwa inatumwa kwenye bahasha ya kaki na hakukuwa na ulinzi wala mtu wa kuilinda kwa sababu Walimu walikua na maadili mazuri lakin siku izi mitihani hyo inafungwa pamoja na ulinzi mkali na silaha za moto na hii ni kutokana na kuporomoka kwa maadili ya Walimu ikiwemo swala la kuvujisha mitihani.

Katibu Msaidizi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Wilaya ya Mbarali Ndg. Issa Shemgei alisema kwamba msingi mkubwa wa siku ya Walimu ni sherehe na tafakuri ya jinsi gani ya kuenenda majukumu yao kwani kwa miaka kadhha ya nyuma alikuwa anapokea kesi zisizopungua 20 kwa mwaka za utovu wa nidhamu kwa walimu, lakini mwaka 2018 -2019 kesi zimepungua na ameweza kupokea kesi 6 tu ambapo kati hizo walimu 3 wamefukuzwa kazi na amewapongeza Walimu kwa kujitambua na kufanya kazi zao za msingi kwa weledi.

Maadhimisho yalianza kwa kwenda kutoa huduma katika Hospitali ya Wilaya ya Mbarali ambapo walitoa zawadi kwa wagonjwa waliolazwa, kufanya usafi eneo la Hospitali pamoja na kuchangia Damu. Sambamba na hilo kulikuwa na michezo mbalimbali kama, Kuvuta Kamba, kukimbia kwenye magunia, kukimbia na Gololi zikiwa kwenye Kijiko, kukimbiza Kuku, kucheza Draft pamoja na kucheza Bao.

MWISHO

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.