• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Tuiombee Nchi yetu kama tulivyoomba kipindi cha Korona-Mfune

Posted on: August 29th, 2020

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune kwenye kikao cha pamoja kati ya Viongozi wa Dini, Viongozi wa Vyama vya siasa, wazee maarufu pamoja na wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo kwa lengo la kuhamasiha jamii ili iweze kushiriki kikamili uchaguzi Mkuu wa tarehe 28/10/2020 pamoja kujadili maadili kwa vyama vya siasa na wagombea katika kuendesha shughuli za siasa wakati wa kampeni siku ya tarehe 28/08/2020 katika ukumbi wa Halmashauri.

Katika kikao hicho Mhe. Mfune amewaomba viongozi wa dini wa madhehebu yote kuendelea kuliombea taifa letu kama walivyofanya kipindi cha ugonjwa wa Korona ili uchaguzi ufanyike kwa amani.

"Wakati tulivyokuwa na changamoto kubwa ya Ugonjwa wa Korona mlishiriki kwa kiasi kikubwa kuliombea Taifa letu, msisite kuendelea kuliombea Taifa letu kwa kuwa haya mambo ndiyo yanayoweka mstakabali wa maendeleo ya nchi yetu, tunawaomba katika sala mbalimbali mshirikishe na uchaguzi mkuu ambao ndio utakaotupatia viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano ijayo."

"Nawasihi sana Vyama vya siasa kufuata ratiba za kampeni kama zilivyopangwa, kufanya kampeni za kistaarabu, kunadi sera na mipango yenu na sio kampeani lugha za matusi, kashfa au kudhalilisha utu wa watu wengine na kwa ambae atakwenda kinyume na taratibu atachukuliwa hatua za kisheria." Alisema Mhe. Mfune

Mhe Mfune aliongeza kuwa, Uchaguzi ni mchakato unaojumuisha hatua na taratibu mbalimbali za kufuatwa na kuzingatiwa kwani kwani ndio msingi wa uchaguzi kuwa mzuri na wenye ufanisi, kwani itasaidia kupunguza au kuondoa kabisa malalamiko au vurugu wakati wote wa mchakato.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali ambaye ni Msimamizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo Ndugu Kivuma Msangi alisema kuwa kwa upande wa jimbo la Mbarali wanachama watano wa vyama tofauti waliochukua fomu za ubunge ila waliorudisha ni wananchama wanne, na kwa upande wa madiwani waliochukua fomu ni wanachama 55 wa vyama tofauti na  ambao wamerudisha fomu ni wananchama 54.

Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali ambaye ni Msimamizi msaidizi ngazi ya jimbo Bi. Jackline Ngaiza aliongeza kuwa, wagombea wote wa nafasi mbalimbali za uongozi pamoja na vyama vyao, wanatakiwa kuheshimu na kufuata Katiba ya Nchi, Sheria ya Uchaguzi, Kanuni za Uchaguzi, maadili ya uchaguzi na maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi pamoja na sheria zingine za Nchi katika kipindi chote cha uchaguzi.

MWISHO

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.