• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

TUTAONGEZA UMAKINI KATIKA USIMAMIAJI WA MASHIRIKA MBALIMBALI YANAYOFANYA KAZI YA MAPAMBANO YA VVU, UKIMWI - Mtega

Posted on: October 13th, 2018

WATAALAM wa Afya na Wadau wengine wanaojihusisha na mapambano dhidi ya Virusi vya Ukimwi wametakiwa kuongeza juhudi za kuwapima wanaume nyumba kwa nyumba kwani wanadaiwa kutoshiriki wakitegemea majibu ya wake zao.

Hayo yalisema siku ya tarehe 12/10/2018 mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Francis Mtega, alipokuwa anafungua kampeni ya “Furaha yangu Pima Jitambue Ishi” yenye lengo la kuwahamasisha wanaume kujitokeza na kupima afya zao.

Mtega alisema kupitia kampeni hiyo watafanikiwa kuthibiti maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi kwa kuhakikisha wanatokomeza unyanyapaa na kupunguza vifo vitokanavyo na Ukimwi na kufikia 90 tatu kama ilivyoelekezwa katika malengo makuu ya kidunia.

“Alisema 90 ya kwanza ni kuhakikisha watu wote wanaoishi na maambukizi ya vvu wanatambuliwa, 90 ya pili ni kuhakikisha watu wote wenye virusi vya ukimwi (waviu), wanaanzishiwa na kubaki kwenye huduma ya matunzo na tiba, 90 ya tatu ni kuhakikisha waviu wote walianza dawa wanafikia uvubavu wa vvu,” alisema Mtenga.

Aidha Mtega alisema kuwa Halmashauri hiyo, itaongeza umakini katika usimamiaji wa mashirika mbalimbali yanayofanya kazi ya mapambano ya VVU na Ukimwi kwa kuzingatia waliongia.

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Godfrey Mwakalila, alisema mpaka sasa jumla ya wanaume 455 wamepima maambukizi ya Virusi vya ukimwi, lengo ni kuwafikia wanaume 2000 ifikapo juni 2019.

Alisema katika kutoa huduma ya upimaji wa maambukizi ya virusi vya ukimwi, jumla ya vituo 54 tayari vinaendelea kutoa huduma na kwamba asilimia 45 ya wanaume ndio wamejitokeza kupima huku wanawake ikiwa ni asilimia 65.

Mratibu wa kuthibiti ugonjwa wa ukimwi wilayani humo, Roman Kessy, alisema katika kuthibiti Ukimwi,   wanakaridia kufikia mwishoni mwa mwaka 2019 itakuwa na jumla ya watu wanaoishi na VVU kuwa ni 18, 396 wenye umri kati ya miaka 15-49.

Aliongeza kuwa katika kampeni hiyo wanatarajia kuwapima wateja 31,480, huku alibainisha kuwa hadi kufikia septemba mwaka huu jumla ya watu 57,559 walitambua hali zao za maambukizi ambapo kati yao wanaume wakiwa ni 27,793 na wanawake ni 29,799.

“Katika upimani huo jumla ya wateja 2,354 walikutwa na maambukizi ya vvu kati yao wanaume ni 993 na wanawake ni 1,361 lakini hadi sasa watu wanaoisihi na virusi vya ukimwi waliopo kwenye dawa ni 18,192,”alisema Kessy.

Mwenyekiti wa Mtnado wa Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (Konga) wilayani humo, Veronica Mkune, alisema kuwa changamoto inayowakabili ni usiri uliopindukia hasa kwa viongozi wa serikali hali inayosababisha unyanyapaa na ubaguzi katika jamii.

Aliongeza kuwa baadhi ya mashirika kuwafikia Waviu na kuwapima upya na kusababisha idadi kuwa kubwa ya maambukizi.

Mwisho.



Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.