• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Tuzingatie Maelekezo Yanayotolewa na Serikali Dhidi ya Corona-Mtega

Posted on: May 1st, 2020

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mhe. Francis Mtega alipokuwa akifungua kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu ya mwaka 2019/2020 kilichofanyika tarehe 30/04/2020 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Rujewa kwa ajili ya kujadili shughuli mbalimbali za maendeleo  zinazoendela katika Halmashauri.

Mhe. Mtega amewataka Madiwani wote kuendelea kutoa maelekezo kwa wananchi ili wafuate  maelekezo yanayotolea na Serikali na pamoja na wataalamu wa afya namna ya kujikinga na ugonjwa  wa Corona unaoshambulia Dunia kwa sasa.

Sambamba na hilo Mhe. Mtega ameendelea kusisitiza suala la uwajibikaji wa kila mtu katika sehemu yake katika kusimamia sheria na taratibu zote zinazohusika kwa ajili ya mafanikio ya halmashauri ili wananchi waweze kufaidika.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma Msangi amewaomba madiwani  kuendelea kutoa ushirikiano kwa wataalamu katika suala la ukusanyaji wa mapato wa halmashauri kwani hali inaonyesha kila mwaka mapato huwa yanaongezeka na hadi kufikia sasa mapato ya ndani yamefikia asilimia 81 na lengo kubwa kuvuka malengo waliyojiwekea

Aliongeza kuwa, madiwani ndio wenye wananchi, maagizo yanayotolea na serikali wawe wanawakumbusha watendaji waweze ili waweze kuyasimamia.

Msangi aliongeza kuwa, ugonjwa wa Corona hauchaugi kiongozi, kabila, siasa, chama wala dini, kwani umejikita kila mahali, kila mtu anapaswa kuchukua tahadharii.

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune ameagiza kuchukuliwa hatua kwa watu wote wanaorudisha nyuma zoezi la ukusanyaji wa mapato ya halmashauri, na kwa upande wa wazabuni wanaokusanya  mapato na bado hawajawasilisha fedha halmashauri waziwasirishe haraka, na kwa  wale wanaokaidi kulipa waondolewe kwa mujibu wa sheria.

“huu sio muda wa kubembelezana, wale waliokuwa wanahistoria ya kusumbua katika masuala ya ukusanyaji wa mapato, sioni haja ya kuendelea nao tena, tuna watu wengi wenye uwezo katika wilaya yetu”

Vilevile Mhe. Mfune amewapongeza madiwani kwa kuisimamia vizuri halmashauri bila kuleta migogoro, kitu kilichopelekea kupata hati safi.

Kuhusiana na taasisi ambazo zipo nje ya halmashauri, Mkuu wa Wilaya amewataka madiwani  kupita katika ofisi yake, ili waweze kupata majibu ya vitu wanavyovihitaji.

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mbarali ndg. Abdallah Mpokwa  amewapongeza Madiwani pamoja na uongozi wa halmashauri kwa kusimamia vizuri Ilani ya Chama Cha Mapinduzi  kwani kila kinachofanyika kinaonekana hasa shughuli za maendelo na suala la ukusanyaji wa mapato na amewataka madiwani kuendelea kutoa ushirikia kwa halmashauri ili waweze kufanya vizuri zaidi.

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.