• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Unapofanya Kazi ni Lazima Jasho Lako Lilingane na Kipato Unachokipata – Mfune

Posted on: June 2nd, 2018

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune alipokuwa  akiendelea na ziara zake za kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na ujazo wa maguni ili wasiweze kudhulumiwa na baadhi ya madalali pamoja na wafanyabiashara wasio na nia nzuri kwa wakulima katika kituo cha Radio ya Highland FM siku ya tarehe 01/06/2018, pamoja na mikutano ya hadhara katika kata za Itamboreo na Ubaruku siku ya tarehe 02/06/2018.

Katika ziara hizo Mhe. Mfune ameendelea kuwasisitiza wakulima wa Wilaya ya Mbarali kuwa na misimamo katika kujipangia bei, kuwa na umoja, kushikamana pamoja na kuwa na sauti moja pindi wanapouza Mazao yao ili  waweze kunufaika na jasho lao.

“Mifuko zaidi ya debe saba ni marufuku, kuuza mpunga mbichi ni marufuku, madalali pamoja na wafanyabiashara uchwala ni marufuku katika wilaya yangu, ukikamatwa kwa kuzidisha ujazo wa debe saba au kilo 100 za mpunga utalipa faini mara mbili, kwa mujibu wa sheria, sheria namba 340 ya wakala wa vipimo ya kuzidisha ujazo pamoja na sheria ya Halmashauri ya kukwepa kulipa kodi”

“Huwezi kwenda dukani na ukaomba ujipimie mwenyewe sukari, ni lazima utapimiwa na mwenye duka, na inapofika suala la kuuza mpunga, fanya hivyo kwenye mpunga wako, pima mwenyewe”

Akijibu baadhi ya maswali yaliyoulizwa na wananchi kwenye mikutano hiyo Mhe. Mfune alisema kuwa kwa wale ambao walikopeshana fedha na kuahidiana kulipana magunia ya mpunga bila ya kuwa na vibali wala Leseni za kukopeshana kwa mujibu wa sheria, ameagiza kiwango cha kulipana kiwe ujazo wa debe saba kwa gunia au kilo mia tu. Msimu ujao wa Kilimo kukopeshana lazima kufuate sheria zilizoweka.

Aliongeza kuwa kwa msimu ujao wa mavuno itakuwa ni marufuku kwa mkulima kuuzia Mazao shambani, utaratibu utawekwa ili kuwe na soko la pamoja, mfanyabiashara atalazimika kufuata bidhaa sokoni, kufanya hivyo kutasababisha anaelima apate haki yake na anayenunua apate haki yake, na ifike kipindi wizi kwenye mazao uwe mwisho kwa Wilaya ya Mbarali.

Sheria ya Wakala wa Vipimo sura namba 340 kifungu namba 46 kinatamka kuwa ujazo wa gunia la mpunga haitakiwi kuzidi kilo 75, tukiwa tunasubiri mchakato wa sheria kufanyiwa marekebisho na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ujazo uwe wa kilo 100 au debe saba za mpunga, kinyume na hapo hatua za kisheria zitachukuliwa pamoja na adhabu ya faini kuanzia shilingi laki 1(TZS 100,000/=) hadi milioni 50.

Kwa upande Halmashauri ukikutwa na ujazo unaozidi kilo 100 au zaidi ya debe saba za mpunga unakuwa unakwepa kodi, utalazimika kulia faini ya kuanzia laki 2 (TZS 200,000/=) hadi milioni 1 (TZS 1,000,000/=) kwa mujibu wa sheria ya fedha ya mwaka 2017/2018 iliyofanyiwa marekebisho.

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.