• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

“Viongozi wa Dini Mnao Mchango Mkubwa Sana Katika Mambo Mbalimbali, Mambo Mengi Sana Yameandikwa Kwenye Misaafu na Biblia, na Hayo Hayo Ndio Mambo Mema Ambayo Serikali Inataka Yaendelee Kufanyika Katika Nchi Yetu

Posted on: March 8th, 2018

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune alipoitisha kikao na Viongozi wa Dini waliopo katika Wilaya ya Mbarali siku ya tarehe 07/03/2018 ili kuzungumzia masuala mbalimbali yakiwemo ulinzi, Usaama na amani, masuala ya Maendeleo zikiwemo huduma za kijamii, Utawala bora pamoja na Mazingira.

Katika kikoa hicho Mhe. Mfune amewashukuru Viongozi wa Dini kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuwaelekeza waumini (wananchi) katika kutenda mambo mema ambayo Serikali inataka yatendeke, kwa Serikali inathamini sana mchango wa Viongozi wa Dini na inawategemea katika mambo mbalimbali, kwani mustakabali wa Ulinzi na Usalama upo mikononi mwetu.

“Kazi mnayoifanya Mwenyezi Mungu amewajalia kuitekeleza katika dunia hii na sisi kama Serikali tunaamini kwamba mnatisaidia katika uongozi wa nchi yetu” 

Mhe. Mkuu wa Wilaya amewaomba Viongozi wa Dini kuendelea kufundisha waamini wao kuhusiana na maadili ili tuweze kuwanusuru vijana wetu kwenye mamba mbalimbali hususani mimba kwa wanafunzi ili wasikatishe masomo yao, ulawiti, ubakaji, mavazi ya ajabu, kwani kupitia Viongozi wa dini itasaidia  kuwarudusha waamini katika mistali iliyonyooka.

Wakizungumza kupitia risala yao, Viongozi wa Dini wa Wilaya ya Mbarali wameishukuru Serikali kwa kuwajari na hata kuacha shughuli zingine na kutenga muda kwa ajili ya kujadiliana mambo mbalimbali yanayoihusu Wilaya ya Mbarali, kwani kitendo hicho kimeonyesha kuwathamini na kuwajali.

“tunawajibika wakati wote kuwa mawakala wa haki, amani na maridhiano kwa mustakabali wa Nchi yetu ya Tanzania, kwa mantiki hiyo sisi kama Viongozi wa dini  tutaendelea kuongoza na kusimamia jamii zetu katika kujenga na kusimamia maadili mema, tutaendele kuongoza jamii zetu katika kuwa mfano bora kuchukua dhamana kuhamasisha na kusimamia utu uhai na ustawi kwa ujumla”

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Ndg. Mganga Ngomuo amempongeza Mkuu wa Wilaya kwa kupitisha kikao na Viongozi wa Dini mbalimbali ili kuzungumzia mambo yanayoihusu Wilaya ya Mbarali yakiwemo, Ulinzi, Usalama na amani, masuala ya Maendeleo, na mambo mengine mengi yanayoigusa jamii.

Mganga Ngomuo amewaomba Viongozi wa Dini kuwaelimisha wanafunzi mashuleni hasa suala la maadili ili wengi wao wasikatishe masomo, kwani kwa sasa wanafunzi wengi hasa wa kike wamekatishwa masomo yao kutokana na tatizo la mimba,  ameomba kusaidiana na walimu pamoja na Viongozi wengine katika kuwarudisha watoto wetu kwenye mstali. Vilevile amewashukuru Viongozi wa Dini katika kuchangia na kuhamasisha waumini katika kuchangia shughuli za Maendeleo.

Daudi Nyingo

Afisa Habari na Mahusiano

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

March 8, 2018

Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.