• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbarali District Council

  • Home
  • About Us
    • Our History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administrations
    • Organization Structure
    • Departments
      • Finance
      • Administration Natural Resources
      • Works and Fire
      • Primary Education
      • Economy Planning and Statistics
      • Land and Natural Resource
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Hearth
      • Rural Water and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Environmental and Solid Waste
    • Units/Sections
      • Procurement and Surprises
      • ICT Units
      • Law
      • Internal Auditor
      • Bee
      • Election
  • Investment
    • Tourism
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
      • Primary Education
      • Secondary Education
    • Water Services
    • Agriculture
    • Livestock and Fisheries
    • Staff Services
  • Councilors
    • Councilors List
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Permanent Committee
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Councelors Time Table
      • District Chair Personal Time Table
  • Projects
    • Planned Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • By Laws
      • Guidlines
    • Costumer Services Contract
    • Strategies
    • Reports
    • Forms
      • Application Form
    • Guidelines
    • Publications
  • Media Centre
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

WATENDAJI MBARALI WASAINISHWA MIKATABA YA LISHE KUOKOA AFYA YA MAMA, MTOTO

Posted on: July 24th, 2019

Watendaji wa Kata zote 20 zilizopo ndani ya Wilaya ya Mbarali, wametia saini mkataba wa kulinda Afya ya Mama mjamzito, mama anaenyonyesha pamoja na Mtoto mwenye umri wa chini ya miaka mitano  katika maeneo yao siku ya tarehe 23/07/2019 ikiwa ni muendelezo wa zoezi lililoanza katika ngazi ya Taifa, Mikoa, Wilaya na sasa ngazi ya Kata na Vijiji.

Akiongea katika zoezi hilo la kutiliana saini, Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune alisema pamoja na jitihada zilizochukuliwa na Serikali pamoja na wadau wa maendeleo, hali ya utapiamlo na udumavu  bado ni kubwa hususani katika makundi ya watu wenye mahitaji maalumu ya lishe.

Aliongeza kuwa ukishakosea mwanzoni katika siku za mwazo ambazo ni siku 1000 tangu kutungwa kwa mimba  hakuna tiba na unaweza ukamlaumu kila mtu kuhusu maendeleo ya mtoto na kupelekea kuwaonea wivu watoto wa wengine watakavyokuwa wanafanya vizuri darasani.

“Katika mikutano yote Waheshiwa Madiwani, tumieni mikutano hiyo kuelezea masuala ya lishe, lishe iwe agenda ya kwanza, muwatengee wataalamu wa  lishe katika maeneo yenu muda wa dakika 10 ili waeleze kwa kifupi masuala ya lishe  kwani  watoto wanazaliwa kila siku, hili ni jambo endelevu ambalo halitafika mwisho”


“Walengwa wakuu wa mkataba wa lishe ni watendaji wa kata, watendaji wa vijiji pamoja na maafisa maendeleo ya jamii kama waratibu wa masuala ya lishe kwa ngazi ya kata na vijiji ili kukamilisha hatua zote za uwajibikaji na usimamizi wa utekelezji wa masuala yote ya Lishe kwa ajili ya kuokoa Taifa.”


“Ninawaagiza kuhakikisha yale yote yalioandikwa kwenye mikataba yenu yanatelezwa na kusimamiwa kwani tathinimi itafanyika hadi kwenye ngazi ya kijiji. Ili tuwe na  watu wabunifu, wenye ujuzi wa kutosha kwa maendeleo ya Taifa suala la lishe ni jambo muhimu sana  ” alisema


Mkutano huo wa kutiliana saini kati ya Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji pamoja na Watendeji wa kata ulihudhuriwa na Waheshimiwa Madiwani, mwakilishi wa shirika lisilo la kiserikali la CRS, Afisa Lishe kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Maafisa maendeleo ya jamii pamoja na baadhi ya wataalamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa Halamashauri ya wilaya ya Mbarali.

Serikali inatekeleza mpango jumuishi wa Lishe wa Taifa wa miaka 5 ulioanza mwaka 2016/2017 -2020/2021 sambamba na kufanya tathimni ya utekelezaji wa makubaliano chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI aliagiza mikataba ya Lishe isainiwe na Watendai wa ngazi ya Vijiji pamoja na Kata

Suala la Lishe ni la kila Mwanadamu, ila mkataba huu unawahusu akina mama wajawazito, akina mama wanaonyonyesha pamoja na watoto ambao hawajafikisha umri wa miaka 5.
MWISHO



Announcements

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MBARALI DC- STRATEGIC PLAN WORD 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIZINDUA NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI MHE KANALI MAULID HASSAN SURUMBU AKIPANDA MTI WAKATI WA KUTEMBELEA MRADI WA KUSINDIKA MAZIWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA UNAOTEKELEZWA NA KIKUNDI CHA NOPADEO WOMEN GROUP CHA KATA YA ITAMBOLEO KIJIJI CHA MATEBETE

    June 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT JUMA ZUBERI HOMERA AKIPANDA MTI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NYEREGETE

    June 05, 2025
  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • View All

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
More Videos

Quick Links

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Related Links

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Postal Address: 237 Rujewa Mbeya

    Telephone: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Email: ded@mbaralidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.