• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kusikiliza kero za wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kituo cha Afya Utengule Usangu Kutoa Huduma za Kisasa Wilaya ya Mbarali

Tarehe ya Kuanza: March 21st, 2018

Kituo cha Afya cha Utengule Usangu ambacho kinaboreshwa katika Kata ya Utengule wilayani ya Mbarali, kinatarajiwa kutoa huduma mbalimbali za kisasa kwa ajili ya kuhudumia wananchi mara baada ya kukamilika kwake.

Kituo hicho kinategemea kutoa huduma mbalimbali kwa jamii inayokizunguka zikiwemo huduma za upasuaji hasa kwa akina mama, huduma za uzazi za kujifungua kwa akina mama, huduma ya vipimo vya  maabara, kulaza wagonjwa wa aina zote, kuhifadhi maiti, huduma kwa wagonjwa wa nje, kutakuwa na mifumo ya maji pamoja na nyumba kwa ajili ya kuishi watumishi watakaohudumu kituo cha afya.

Jumla ya majengo mapya saba yanatarajiwa kujengwa yakiwamo:- jengo la upasuaji, jengo la wazazi, jengo la kufulia nguo, jengo la maabara, jengo la kuhifadhia maiti, nyumba ya mtumishi inayojitegemea, jengo la wagonjwa wa ndani (wodi ya wanawake, wodi ya wanaume na wodi ya watoto) pamoja na njia ya kupitishia wagonjwa

Hadi kumalika kituo hiki, kiasi cha  shilingi milioni mia tano na  hamsini na tano, mia moja na tisa elfu mia nane kumi na mbili (555,109,812/=). kinakadiliwa kutumika. Kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi Milioni Mia Nne (400,000,000/=) zimetolewa na Serikali kuu, shilingi milioni mia moja  hamsini na tano, mia moja na tisa elfu mia nane kumi na mbili (155,109,812/=) Ni mchango wa Halmashauri ya Wilaya, Wadau mbalimbali pamoja na wananchi.

Kukamilika kwa Kituo hiki kutawezesha wananchi zaidi ya kata sita ambazo zinakizunguka kuhudumiwa. Kata hizo ni Kata ya Utengule Usangu, Kata ya Luhanga, Kata ya Mwatenga, Kata ya Igurusi, Kata ya Kongolo Mswiswi pamoja na Kata ya Mahongole.


Daudi Nyingo

Afisa Habari na Mahusiano

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mbeya

March 21, 2018

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO YA KINGA YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI KWA WASICHANA WOTE WALIOTIMIZA UMRI MIAKA 14 April 21, 2018
  • TANGAZO LA KUUZA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI TAREHE 20/04/2018 April 20, 2018
  • WAZIRI WA NISHATI KUTEMBELEA MBARALI, KUONGEA NA WANANCHI, KUZINDUA MIRADI YA UMEME PAMOJA NA UPANUZI WA HUDUMA April 19, 2018
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA KUTATUA KERO ZA WANANCHI WILAYA YA MBARALI TAREHE 11/04/2018 April 06, 2018
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • VIJIJI 102 KUWAKA UMEME IFIKAPO AGOSTI 2019 MBARALI

    April 22, 2018
  • MFUNE ATOA WIKI MBILI KWA WALIOKAIDI KUPISHA UPANUZI WA BARABARA KUPISHA MARA MOJA

    April 21, 2018
  • Watendaji 42 Warudishwa Kazini Mbarali

    April 18, 2018
  • Ghala la Kisasa la Kuhifadhia Nafaka Linalopatikana Katika Kijiji cha Mbuyuni Kata ya Mapogoro

    April 08, 2018
  • Tazama

Video

UCHAGUZI MDOGO VIJIJI VYA MWANAVALA NA WALUMBA KUFANYIKA TAREHE 24/09/2017
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255713317374

    Barua Pepe: ded.mbarali@mbeya.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2018 GWF . All rights reserved.