• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC amaliza Mgogoro wa Mpaka kati ya Mtamba na Uturo uliodumu miaka 11

Tarehe ya Kuanza: March 8th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe Reuben Mfune, amehitimisha mgogoro wa mpaka uliodumu takribani kwa muda wa miaka 11 kati ya kijiji cha Uturo na Kijiji cha Mtamba vilivyopo kata ya Mapogoro wilayani hapa.

Mkuu wa Wilaya amemaliza mgogoro huo siku ya tarehe 07/03/2019 alipoitisha mkutano wa hadhara na wananchi wa vijiji hivyo viwili kwa ajili ya kuwasikiliza na kufikia hitimisho kwani kwa kipindi kirefu wamekuwa wakiishi bila ya maelewano.

Katika kumaliza mgogoro huo, Mhe. Mfune alisema kwamba, kwa kuwa kila upande unaendelea kushikilia msimamowake, maamuzi yake ya mwisho ya kumaliza ni kuwa eneo linalobishiwa litagawanywa lakini mgawanyo wake hautakuwa kama wengine walivyopendekeza.

kijiji cha uturo kitaishia eneo linaloitwa kwa maboga na kijiji cha Mtamba kitaishia eneo linaloitwa kwa Mpendwa upande mwingine wa barabara.

“haiwezekani tukaendelea kubishana kuhusu jambo moja miaka yote, na tunakaacha kufanya shughuli za maendeleo tunakuja kushinda hapa kwa ajili ya jambo moja. Wote hapa nyie ni ndugu halafu mnaleta migogoro isiyo na tija” alisema Mhe Mfune

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Aswege Kaminyoge, alisema kuwa, kwa mujibu wa sheria Mamlaka yenye mapendekezo ya kugawa eneo ndani ya kijiji ili kiweze kugawanyika ni mkutano mkuu wa kijiji husika, baada ya hapo unaandaliwa muhtasali ambao unapelekwa halmashauri, na mara baada ya muhtasari huo kukubaliwa, unapelekwa kwa Waziri mwenye dhamana ili aweze kugawa vijiji.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano huo, walimshukuru Mkuu wa Wilaya ya Mbarali kwa kutatua mgogoro uliodumu kwa muda mrefu kwani ulikuwa unawakwamisha kufanya shughuli zao za maendeleo kama ujenzi wa vyumba vya madarasa na zahanati.

Kijiji cha Uturo kiligawanyika mwaka 2009 na kuzaliwa vijiji vitatu, Kijiji cha Uturo, Kijiji cha Mtamba na Kijiji cha Ukwama.

Mgogoro kati ya Kijiji cha Uturo na Kijiji cha Mtamba ulianza mwaka 2009 mara baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wakati wa ugawanyaji wa mali ambapo halmashauri ya vijiji vitatu Kijiji cha Uturo, Ukwama na Mtamba viliketi vikiwa na ajenda ya kugawanya mali za vijiji pamoja na kuoneshana mipaka kitu kilichopelekea vijiji vya Uturo na Mtamba kutofikia muafaka.

Eneo lililokuwa linagombaniwa ni kitongoji cha kilambo ambapo kila kijiji kiliingia zaidi kwa mwingine kwenye eneo lenye upana wa mita 260.

MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MBARALI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA YA KABONI

    May 22, 2025
  • ZIARA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MBEYA WILAYANI MBARALI

    May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI

    May 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.