• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC amshukuru Mdau wa Maendeleo kwa Kuguswa na Uhaba wa Madawati

Tarehe ya Kuanza: February 18th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Rauben Mfune amemshukuru Ndg. Leopord Mwadembe kwa kuchangia viti pamoja na meza 10 zenye thamani ya shiling 500,000 kwa ajili ya kusaidia kupunguza uhaba wa Viti na Meza kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule za sekondari wilayani hapa.

Mhe. Mfune amezitoa shukrani hizo siki ya jumatatu ya tarehe 18/02/2019 katika Karakana ya magali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali iliyopo makao makuu ya Halmashauri alipokuwa akikabidhiwa madawati hayo ili yakasaidie baadhi ya shule zenye uhaba mkubwa.

Akizungumza katika makabidhiano hayo alisema kuwa amewaandikia barua pamoja na kuwaomba wadau mbalimbali wa maendeleo wilayani hapa ili waweze kusaidia upungufu wa viti na meza 4,616 kwani kwa mwaka jana 2018 kulitokea ongezeko kubwa la ufaulu wa wanafnzi wa darasa la saba tofauti na miaka nyuma.

“Tumewataarifu wananchi wote ambao shule zao zina upungufu wa viti na meza, vilevile tumewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo kutuchangia, tunamshukuru Ndg. Mwadembe kwa kuguswa na uhaba huu na kuamua kutuchangia viti pamoja na meza 10 vyenye thamani ya shilingi laki tano (500,000).”

“Nawaomba na wadau wengine ambao wamepokea wito na ambao hawajapokea wito, tunawakaribisha waweze kutuchangia madawati ili watoto wetu waweze kusoma katika mazingira mazuri.”

Naye Ndg. Leopord Mwadembe Mdau wa maendeleo anaetokea Kata ya Ubaruku  Wilaya ya Mbarali amewasihi wadau wengine wa maendeleo kuchangia madawati kama alivyofanya yeye, kwani watoto hawana sehemu ya kusemea, na kama mtu hana pesa bora akachangia hata nguvu kazi kusaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa unaoendelea.

“Hakuna mtu ambaye hana mtoto anayesoma sekondari, kama sio wa kwako kabisa basi ni wa ndugu yako, rafiki yako au jirani yako, na hatuwezi kuitegemea serikali peke yake ikafanya kila kitu, napenda kuonyesha hisia zangu kwa vitendo na kusonga mbele”

Ndg. Mwadembe aliongeza kuwa kuna fedha ambazo anaidai skimu ya umwagiliaji ya Mwenda Mtitu iliyopo wilayani hapa kiasi cha shilingi 8,500,000/=  ambazo alifanya kazi ya kutengeneza mfereji, kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi 3,500,000/= zikatwe kama mchango wake mwingine katika kuchangia upungufu wa madawati.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma Msangi alisema kwamba anawapenda wadau kama hawa wa maendeleo ambao hawana itikadi za kisiasa katika masuala ya maendeleo, ofisi yake kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Wilaya wanapokea mchango wowote ule, uwe mchango wa fedha au dawati hata kama likiwa moja kwani kwa sasa kuna uhitaji mkubwa sana wa viti pamoja na meza.

MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MBARALI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA YA KABONI

    May 22, 2025
  • ZIARA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MBEYA WILAYANI MBARALI

    May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI

    May 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.