• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC Apiga Marufuku Watoto Kuonekana Maeneo ya Machimbo.

Tarehe ya Kuanza: May 12th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune, amepiga marufuku watoto wote wenye umri chini ya miaka 18 kuonekana kwenye maeneo yote yanayojihusisha na uchimaji wa madini wilayani Mbarali kwani maeneo hayo sio salama kwao.

Mhe Mfune ameyasema hayo kwenye Mkutano wa hadhara yanapochimbwa Madini ya Dhahabu Kata ya Mapogoro na Lugelele siku ya tarehe 11/05/2021 alipofanya ziara na Kamati ya Usalama Wilaya kutembelea, kukagua pamoja na kutoa elimu ya Afya na Mazingira kwa wachimbaji wa maeneo hayo.


 “Marufuku kuleta watoto kwenye maeneo ya machimbo, tukija tena na tukakuta watoto huku, utakachokipata utasimulia, kwanza hairuhusiwi kuajili watoto wadogo, ukimleta mtoto hapa unamuweka kwenye mazingira hatarishi, acheni watoto nyumbani na nyie mje huku fufanya kazi.”

“Leo tumekuja kutoa elimu, tukija siku nyingine tutakuja kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria, watakaokiuka watapata sadaka zao, nachowaomba tulinde usalama wetu, na mtu wa kwanza kulinda usalama wako ni wewe mwenyewe.”  Alisema Mhe. Mfune

Mhe Mfune amewataka wachimbaji wote kuendelea kuchukua taadhari ya maisha yao kwa kujikinga na mambo mbalimbali ikiwemo kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya Corona na Ukimwi, uvutaji wa bangi, unywaji wa pombe kupita kiasi, na wakumbuke kuwa kuna watu wanawategemea, na kama wataona kuna kitu hakipo sawa washauri ili taratibu ziweze kufuatwa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma Msangi alisema kwamba hategemei Dhahabu inayopatikana Mbarali ikawa kama laana ya kuleta ugomvi na migogoro, kwani watu wote wamekuja kutafuta pesa. Amewataka waachane na Imani potofu kwani masuala hayo yatasababisha kuvurugika kwa Amani.

“Yakitokea masuala ya Imani potofu tutaanza na nyie hakuna sehemu inayosema ili madini yapatikane ni lazima muue mtu.” Alisema Msangi

Naye Afisa Usafishaji na Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Raphael Shitindi alisema kuwa wamiliki wa maendeo ya uchimbaji wa madini wanatakiwa kufanya tathimini ya athari ya mazingira ili kukabiliana na mambo mabaya ya uharibifu wa mazingira kwa ajili ya usalama wa watu wote.

Wakiongea katika nyakati tofauti baadhi ya wachimbaji wadogowadogo wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu ya mazingira, kuwatafutia soko pamoja kuwasaidia kupata maslahi mazuri kwa wamiliki wa mashimo ya madini na wamiliki wa makarasha kwani wamekuwa wakifanya kazi kubwa ila maslahi ni madogo.

Katika ziara hiyo vilevile Mkuu wa Wilaya aliweza kutembelea mradi wa Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA, Ujenzi wa Stendi ya Igawa, kukagua uharibifu unaofanyika kwenye Reli ya TAZARA, Maeneo ya Hifadhi yanayosimamiwa na TAWA ambayo yanayovamiwa na wananchi pamoja na eneo la Machimbo ya Dhahabu.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI YA MKATABA YA MTUNZA KUMBUKUMBU (DATA ENTRY CLERK) NA TABIBU (CLINICAL OFFICER II) TAREHE 02-12-2022 November 28, 2022
  • RE-ADVATISEMENT JOB VACANCIES November 10, 2022
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI AKISHIRIKI ZOEZI LA USAFI KATIKA KATA YA UBARUKU

    March 03, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA MBARALI KANALI DENIS MWILA AKISHIRIKI ZOEZI LA USAFI NA UPANDAJI WA MITI WILAYA YA MBARALI TAREHE 18/02/2023

    February 24, 2023
  • TIMU YA CMT MBARALI NA MENEJA WA MAJI WILAYA YA MBARALI WAKIKAGUA MRADI WA MAJI

    May 15, 2022
  • AFISA UTUMISHI NA UTAWALA

    June 09, 2022
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.