• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbarali District Council
Mbarali District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhimira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Uchumi Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Maji Vijijini na Taka Ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
    • Huduma za Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Kata ya Mahongole
      • Kata ya Ruiwa
      • Kata ya Imalilosongwe
      • Kata ya Igurusi
      • Kata ya Itamboleo
      • Kata ya Mwatenga
      • Kata ya Kongolo Mswisi
      • Kata ya Mawindi
      • Kata ya Luhanga
      • kata ya Madibira
      • Kata ya Utengule Usangu
      • Kata ya Igava
      • Kata ya Rujewa
      • Kata ya Mapogoro
      • Kata ya Ipwani
      • Kata ya Miyombweni
      • Kata ya Ubaruku
      • Kata ya Lugelele
      • Kata ya Chimala
      • Kata ya Ihahi
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Time Tabe
      • Ratiba ya vikao vya wah.Madiwani
      • Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Muongozo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mikakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
      • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Faida zinazopatikana kutokana na uhifadhi zinarudi kwa wananchi kupitia shughuli za maendelo – Lihiru

Tarehe ya Kuanza: March 12th, 2020

Hayo yamesemwa na mjumbe wa timu maalumu ya kutoa elimu ya uhifadhi na ujirani mwema Mhifadhi kutoka Hifadhi ya Taifa kitulo Ndg. Agricola Lihiru alipokuwa akitoa elimu kuhusina na uhifadhi wa hifadhi za taifa pamoja na ujirani mwema siku ya tarehe 12/03/2020

Lihiru amesema kwamba zipo faida nyingi tunazoweza kuzipata kutoka kwenye uhifadhi ikiwemo kuendeleza miradi ya maendeleo iliyoibuliwa na wananchi kwa kuchangia asilimia 90 ya mradi na kuchangia kwenye mfuko wa taifa ili kusaidia shughuli za kimaendeleo.

Mhifadhi amebainisha baadhi ya miradi iliyofadhiliwa na Hifadhi ya Taifa za Tanzania (TANAPA) kuwa ni pamoja na ujenzi wa bwalo la shule ya sekondari ya Mawindi, utengenezaji wa madawati katika shule ya msingi ya Luango, ujenzi wa vyumba vya madarasa Kata ya Igava pamoja na ujenzi wa zahanati ya Madibira.

Naye Afisa Ujirani Mwema kutoka Hifadhi ya Taifa ya Kitulo Ndg Mollel Heriel ameweza kubainisha mambo mbalimbali ambayo hayaruhusiwi katika maeneo ya hifadhi kuwa ni pamoja na kutokufanya shughuli za kibinadamu kama kuwinda , kuingiza mifugo, kuweka makazi, kuchoma moto na mkaa kuwinda wanyama pori, kuvuna misitu,, uvuvi, kuwinda , kuchimba madini na kuingia na silaha yoyote.

Aliongeza kuwa muingiliano wa wanyama wa kufugwa na wanyamapori inaharibu uasilia wa wanyama pori pamoja na muingiliano wa magonja kutoka kwa wanyama wa kufungwa kwenda kwa wanyama pori au wanyama pori kwenda kwa wanyama wa kufugwa majumbani

Muikolojia Kutoka Hifadhi ya Taifa Ruaha Ndg Daniel Mathayo aliongeza kuwa kuna hifadhi 22 za taifa kwa sasa ambazo zinahifadhi wanyama pori na mazingira ambapo katika hifadhi hizo wananchi na wageni wanaruhusiwa kwenda kufanya utalii wa picha ambapo kwa mtanzania mtu mzima ni tsh. 5000 na mtoto ni 2000 vilevile inaruhusiwa kwenda kufanya matambiko kwa kibali maalumu ili waweze kupatiwa ulinzi.

Aliongeza kuwa TANAPA imeanzisha tuzo ya uhifadhi mazingira ambayo inashindanisha wananchi ambao wanafanya shughuli za uhifadhi wa mazingira kama watu binafsi, taasisi, vikundi na jumuiya za watumia maji ili kuimbarisha ujirani mwema, kuboresha mazingira na vyanzo vya maji, ambapo kwa sasa imeshafanyika kwa wilaya za Mbarali, Wangingombe, Makete, Mufindi na Kilolo na mwaka huu imeongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.
MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, NOVEMBA 27,2024 October 20, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 17, 2024
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI 2018_2019- 2022_2023 June 08, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELO KIASI CHA SHILINGI 1,010,267,500.00 March 13, 2021
  • Tazama

Taarifa Mpya

  • DC MBARALI UFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA KATA YA ITAMBOLEO

    May 22, 2025
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MBARALI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA YA KABONI

    May 22, 2025
  • ZIARA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MBEYA WILAYANI MBARALI

    May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI

    May 16, 2025
  • Tazama

Video

MBUNGE MBARALI ATOA MILINI 120 KWA AJILI YA SARE WANAFUNZI WOTE WALIOFAURU KIDATO CHA KWANZA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Google
  • SAIRLA TANZANIA DASHBOARD

Tovuti Mashuhuri

  • RAS Mbeya Web Site
  • Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Salary Slip Portal

Ramani kwa wasafiri

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    Rujewa Road 3 km from main Road: Then Drive Mkurugenzi road. 1

    Sanduku la Posta: 237 Rujewa Mbeya

    Simu ya Mezani: 252957440/252957447

    Mobile: +255784 906 216

    Barua Pepe: ded@mbaralidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Copyright ©2021 GWF . All rights reserved.